• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

Posted on: June 27th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde. Christopher E. Ngubiagai  ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayofanya kazi ndani ya Ukerewe kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya uwajibikaji na uwazi,kujitolea na mshikamano na jamii,haki na usawa,maadili ya kitaaluma na kijamii sambamba na kuboresha ushirikiano baina yao na serikali.

Akizungumza wakati wa jukwaa la mwaka la mashirika yasiyo ya kiserikali ngazi ya Halmashauri Mhe.Ngubiagai amepongeza takriban mashirika 21 yanayofanya kazi zake za kijamii ndani ya Ukerewe huku akikiri kuona mchango wao mkubwa kwa kuwafikia wananchi ngazi za chini kabisa kwa kuwapatia huduma ambazo serikali peke ake isingeweza kufanikisha kwa haraka.

"..mara nyingi mnafanya kazi ya kuibua changamoto na kuzitafutia suluhisho kuna masuala ya elimu ya afya ya uzazi kwa wasichana, elimu ya mazingira na masuala ya huduma kwa watu wenye mahitaji maalum,kwa kweli mnafanya kazi nzuri sana .."

Akiwasilisha taarifa ya mashirika yasiyo ya kiserikali yanayofanya kazi zake za kijamii ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii amesema katika kipindi cha Januari hadi Machi 2025 jumla ya watu 2,394 wamefikiwa kupitia shughuli mbalimbali za mashirika hayo zinazoendelea kutolewa ndani ya Ukerewe.

Emmerensiana Mkubulo ni mwenyekiti wa shirika la SMAUJATA Wilaya ya Ukerewe yeye ameitaka jamii kuungana katika mapambano dhidi ukatili wa kijinsia huku akina mama kuacha kuwafanyia ukatili waume zao majumbani.

"..Sio wanawake tu wanaofanyiwa ukatili hata kina baba wanakatiliwa sana ni vile wao hawana tabia ya kuzungumza sana,jamii ya Ukerewe embu tubadilike.."

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.