• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MBIO MAALUM ZA MWENGE WA UHURU ZATEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.3 UKEREWE

Posted on: July 5th, 2021

Wilaya ya Ukerewe leo imepokea Mwenge wa Uhuru na kutoka Wilaya ya Ilemela na umekimbizwa katika Wilaya katika kata zaidi ya nane na kuzindua, kuweka mawe ya msingi na ufunguzi wa Miradi mbalimbali za Maendeleo ndani ya Wilaya miradi iliyotekelezwq na Halmashauri, Serikali kuu na nguvu za wananchi. 

Miradi yote ina jumla ya zaidi ya bilioni 1.3 na ipo katika hatua mbali mbali za utekelezaji. 


Aidha Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2021 Luteni. Josephine Paul Mwambashi amepongeza Wilaya ya Ukerewe kwa jitihada kubwa katika kusimamia miradi ya Maendeleo ambapo miradi yote inaonesha thamani ya fedha. 


Miradi hiyo iliyo na manufaa mbalimbali na tija kwa wananchi imeelekezwa kutunzwa na kuhaikikisha inadumu. 


Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa  KIkundi cha Bodaboda NYEGEZI NANSIO Ambao haukuweza kuzinduliwa hivyo kuelekezwa kukamilisha hatua iliyotakiwa kukamilishwa kisha kuzunduliwa na viongozi wakitaifa. 

Mradi wa Jengo la upasuaji Hospitali ya Wilaya, Mradi wa Mfumo wa GotHOMIS katika Hospitali ya Wilaya ya Ukerewe, vyumba vinne vya Madarasa kata ya Nkilizya, jengo Uthibiti Ubora wa Shule, kikundi cha walemavu Tunajitambua Umoja Training Center, Mradi wa maji kijiji cha Nansole, utekelezaji wa Mradi wa Maji kijiji cha Murutunguru, Uzaiishaji wa Machungwa kijiji cha Murutunguru,Ujenzi wa daraja la Mahande, Ukaguzi wa daraja la Kilimabuye kata ya Namagondo.

Aidha katika Mradi wa Daraja la Halwego- Mahande kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge Luteni. Josephine Paul Mwambashi ametoa siku kumi na nne kuhakikisha kuwa vibao vya alama kuonyesha kuwa kuna daraja viwekwe, na mratibu wa Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mwanza kuwasilisha viambata vyote vinavyoonesha kuwa alama hizo zimeweka mahali watakapokuwa wamefika. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.