• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MILIONI 74 ZA NMB KUNUFAISHA SEKTA ZA AFYA NA ELIMU UKEREWE

Posted on: November 1st, 2019

Benki ya NMB (PLC) imekabidhi msaada wa vitu mbali mbali vyenye thamani ya TSH Milioni74, vitu hivyo vimetolewa na Ndugu Abraham Augustino Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa kama sehemu ya kushirikiana na serikali na taasisi zake katika kutoa huduma kwa wananchi.

Mhe. Cornel Magembe Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe ameishukuru sana NMB benki kwa kuona juhudi za serikali na kuamua kuunga mkono. Amezitaka Shule na zahanati pamoja na hospitali waliopatiwa msaada huo kutumia vitu hivyo vizuri kama mahitaji yalivyo na kuboresha utoaji huduma katika maeneo hayo.


Michango imelenga kwenye sekta mbili ambazo ni Afya na Elimu baada ya kuwa wamepata maombi kutoka katika sekta hizo. Kwa kutambua juhudi za serikali katika sekta hizo katika wilaya ya Ukerewe NMB imeona vema kuunga mkono na kwa hospitali tumetoa Vitanda vya wagonjwa wa kawaida vitano(5) vya wagonjwa wa kawaida na viwili (2) vya uchunguzi pamoja na mashuka 50.

Shule ya msingi Msozi, Shule ya Sekondari Kakerege, Mumbuga, Bukongo, Nakoza, Wamepewa vifaa vya kuezekea madarasa vifaa vyenye thamani ya TSH 5,000,000/-

Nduruma Sekondari Madawati yenye Thamani ya TSH 4,999,000/-

Shule ya msingi Mulezi 4,598,000/-

Chuo cha Ualimu Murutunguru 4,497,500/-,Nansio Sekondari 4,000,000/-Nakatunguru Sekondari 4,981,000/-Irugwa Sekondari 4,999,500/-,Zahanati ya Bwasa vifaa vya kuezekea TSH 4,900,000/-. Na hivyo jumla ya misaada yote ni TSH 74,917,840/-. Alisema Augustino.


Akitoa shukrani Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa kata ya Bukindo Mhe. Gabriel kalala Gregory amesema Msaada huo utasaidia kusaidia na wanafunzi wanapata mazingira mazuri ya kusomea.


Nae Hellen Rocky Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe amemshukuru Meneja wa NMB Nansio Ndugu Hassan Nyangani kwa kuwa Mdau mzuri wa maendeleo hasa katika sekta za Afya na Elimu na amemtaka kutokuchoka kushirikiana na Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.