• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MIRADI SITA YA MAENDELEO YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU

Posted on: August 22nd, 2017

Amour Hamad Amour mkimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa ameongoza mbio za Mwenge wa Uhuru 2017 ambapo umetembelea miradi sita ya maendeleo katika Wilaya ya Ukerewe na ume kufungua miradi miwili, kuweka mawe ya msingi katika miradi miwili na kuzindua miradi miwili. Miradi hiyo ya maendeleo inathamani ya shilingi 867,899,185.Kauli mbiu ya Mwenge 2017 ni “shiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu”


Amour Hamad Amour kiongozi wa mbio za Mwenge 2017 amewata wananchi wa Ukerewe namna moja wapo ya kukuza uchumi wa nchi yetu kama tukiweka mkazo katika sekta ya viwanda kwa kukuanziasha viwanda na kufufua viwanda na kuvifanya viweze kufanya kazi  na kwa namna hiyo itatengeneza ajira nyingi kwa watu na watanzania wote. Itawezesha wananchi kuondokana na utegemezi wa taifa na kuweza kupata mapato kupitia shughuli mbali mbali za za uwekezaji katika viwanda kwa wakezaji wadogo, wakati na wakubwa. Amesisitiza kua kwa kuanzisha viwanda Wilaya ya Ukerewe inaweza kujengeka na kuinuka kiuchumi na kuwa kama miji mingine mikubwa iliyoendelea hapa nchini. Ameyasema hayo alipo kuwa akitoa salamu na ujumbe wa mwenge alipo wasili wilayani Ukerewe.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru 2017 ni pamoja na ofisi ya Asasi ya Lake Victoria Children (LVC)-Bukongo mradi huo Ujenzi wake umegharimu  Tshs. 79,665,000.00 mradi umewekewa jiwe la ufunguzi na kisha Kiongozi wa Mbio za mwenge akagawa  vyandarua kwa  wazazi wa watoto waliopo hapo kituoni na wanaoishi jirani na kituo. Mradi wa ujenzi wa jengo la upasuaji katika kituo cha afya Muriti kwa gharama ya Tshs 425, 925,005.00. Mradi wa uzinduzi  wa barabara busangu-mugu-nakamwa-kaseni-nakamwa –kitanga  km 17.9 na box culvert kwa gharama  ya Tshs 57,139,000.00. Mradi wa ujenzi wa vyumba vinne (4)  vya madarasa shule ya sekondari Busangu mugu kwa  gharama  ya Tshs. 123,044,400.00 jiwe la  ufunguzi liliwekwa. Mradi wa ujenzi wa mradi wa maji Bukindo- Kagunguli Ujenzi umegharimu   Tshs 150,150,000.00 jiwe la msingi limewekwa. Mradi wa kiwanda kidogo cha kuchakata muhogo na kutengeneza sabuni kwa gharama ya Tshs 31,975,780.00 na kuwekewa jiwe la uzinduzi. 

Ilituweze kupiga hatua kiuchumi wa viwanda wilaya lazima izingatie mambo makuu ambayo ni lazima tuwe na Maeneo ya kuwekeza viwanda, maeneo ya kufanya kilimo ilikupata malighafi zakutosha kuingia katika viwanda mbalimbali, kuweza kuwa na nguvu kazi itakayofanya katika viwanda mbalimbali, kuwa na masoko na kuongeza thamani ya vile tunavyotengeneza na kuchakata viwandani. Ameyasema hayo alipokuwa akiweka jiwe la Uzinduzi katika mradi wa kiwanda kidogo cha kusindika Muhogo na kutengeneza Sabuni-Mukunu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.