• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MKURUGENZI AHIMIZA KASI UJENZI WA MADARASA

Posted on: November 20th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bw. Emmanuel Sherembi Leo ametembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya Ujenzi wa Madarasa Miradi inayotekelezwa kwa Fedha zilizotolewa na Serikali kupitia mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko19 katika Shule 14 ambayo mpaka sasa yapo yaliyofikia hatua ya boma na mengine kufunga renta. 

Sherembi ameelekeza Wasimamizi kuhakikisha madarasa hayo yanayoendelea kujengwa yanajengwa katika ubora wa hali ya juu ili kuwa na thamani Pia yaweze kutumika kwa Muda mrefu zaidi. Wilaya ya Ukerewe inatarajia kukamilisha madarasa jumla 167 kufika desemba 15 mwaka huu ambapo kila darasa litajengwa kwa Tsh. 20,000,000/-.

Aidha amewataka Wakuu wa Shule na walimu wa kuu kuhakikisha wanafuata taratibu na kanuni za manunizi kwa kufanya hivyo miradi itapata vifaa vyenye viwango kama vilivyoelekezwa na wahandisi. 


Kadhalika amezitaka kamati za ujenzi za Shule pamoja na Wasimamizi wote kuhakikisha miradi hii ya Fedha zilizotolewa na Serikali kupitia mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko19 inasimamiwa kwa vema na kuhakikisha hakuna mianya ya ubadhilifu wa aina yoyote ili thamani miradi hii iweze kuonekana. 

Shule za Sekondari zilizotembelewa leo ni Nakatunguru, Bukanda, Mukituntu, Igalla, Mibungo, Muriti, Busangumugu, Ilangala, Buguza, Cornel Magembe, Bukindo na Bukongo na Shule za Msingi ni Nduruma na Igalla Shule shikizi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.