• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MKURUGENZI AHIMIZA KASI UJENZI WA MADARASA

Posted on: November 20th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bw. Emmanuel Sherembi Leo ametembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya Ujenzi wa Madarasa Miradi inayotekelezwa kwa Fedha zilizotolewa na Serikali kupitia mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko19 katika Shule 14 ambayo mpaka sasa yapo yaliyofikia hatua ya boma na mengine kufunga renta. 

Sherembi ameelekeza Wasimamizi kuhakikisha madarasa hayo yanayoendelea kujengwa yanajengwa katika ubora wa hali ya juu ili kuwa na thamani Pia yaweze kutumika kwa Muda mrefu zaidi. Wilaya ya Ukerewe inatarajia kukamilisha madarasa jumla 167 kufika desemba 15 mwaka huu ambapo kila darasa litajengwa kwa Tsh. 20,000,000/-.

Aidha amewataka Wakuu wa Shule na walimu wa kuu kuhakikisha wanafuata taratibu na kanuni za manunizi kwa kufanya hivyo miradi itapata vifaa vyenye viwango kama vilivyoelekezwa na wahandisi. 


Kadhalika amezitaka kamati za ujenzi za Shule pamoja na Wasimamizi wote kuhakikisha miradi hii ya Fedha zilizotolewa na Serikali kupitia mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko19 inasimamiwa kwa vema na kuhakikisha hakuna mianya ya ubadhilifu wa aina yoyote ili thamani miradi hii iweze kuonekana. 

Shule za Sekondari zilizotembelewa leo ni Nakatunguru, Bukanda, Mukituntu, Igalla, Mibungo, Muriti, Busangumugu, Ilangala, Buguza, Cornel Magembe, Bukindo na Bukongo na Shule za Msingi ni Nduruma na Igalla Shule shikizi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.