• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MONGELLA AMEWATAKA BARAZA LA MADIWANI KUSIMAMIA HALMASHAURI

Posted on: August 8th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amehudhuria kikao cha Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kujadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa mahesabu, baraza hilo maalumu linaloongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe na kuhudhuriwa na viongozi wengine wa ngazi ya mkoa na wilaya. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi mkubwa wa halmashauri.

Abyudi Sanga Mkaguzi wa hesabu mkoa wa Mwanza ameeleza hoja ilizonazo halmashauri kuwa zipo zinazoanzia mwaka wa fedha 2002/2003 hadi mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo jumla ya hoja zilizotolewa ni 239, hoja zilizofungwa ni 67, hoja zilizo katika utekelezaji ni 109, hoja ambazo hazijafungwa ni 63. Ameshauri halmashauri kuongeza juhudi katika kujibu hoja ilikuondokana na kuendelea kupata hati ya mashaka katika ukaguzi wa mahesabu.

Sanga ameeleza kuwa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe italetewa timu ambayo itakuja kufanya ukaguzi maalumu kukagua hesabu. “Timu ya ukaguzi maalumu itaanza kazi kuanzia tarehe 13 mwezi Agosti”. Alisema Sanga.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amelitaka baraza la madiwani kusimamia kikamilifu halmashauri ili kuepusha kuendelea kutengeneza hoja na kuweka msisitizo na nguvu katika kujibu hoja. Mongella amewataka timu ya menejimenti na wataalamu kujikita katika kujibu hoja na kutoa ushirikiano wa kuweka vielelezo ilikusaudia kuondoa hoja hizo. Pia amemwagiza mkuu wa wilaya kusimamia vema fedha zilizoletwa kujenga kituo cha afya Muriti ambapo serikali imetoa 400,000,000.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Frank S. Bahati ameeleza kuwa ameunda timu ya wataalamu ambayo inashughulikia na inafuatilia ujibuji wa hoja na hatua mbali mbali zimechukulia na kuongeza mwamko katika kuondoa hoja hizo kuanzia 2002. Pia kumekua na upungufu wa wakuu wa idara, na upungufu wa wahasibu katika ofisi ya fedha.

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha amesisitiza kuwa baraza analoliongoza lipo imara na amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa Madiwani wataendelea kusimamia kikamilifu halmashauri na wataalamu. 



Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.