• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MONGELLA AMEWATAKA BARAZA LA MADIWANI KUSIMAMIA HALMASHAURI

Posted on: August 8th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amehudhuria kikao cha Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kujadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa mahesabu, baraza hilo maalumu linaloongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe na kuhudhuriwa na viongozi wengine wa ngazi ya mkoa na wilaya. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi mkubwa wa halmashauri.

Abyudi Sanga Mkaguzi wa hesabu mkoa wa Mwanza ameeleza hoja ilizonazo halmashauri kuwa zipo zinazoanzia mwaka wa fedha 2002/2003 hadi mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo jumla ya hoja zilizotolewa ni 239, hoja zilizofungwa ni 67, hoja zilizo katika utekelezaji ni 109, hoja ambazo hazijafungwa ni 63. Ameshauri halmashauri kuongeza juhudi katika kujibu hoja ilikuondokana na kuendelea kupata hati ya mashaka katika ukaguzi wa mahesabu.

Sanga ameeleza kuwa halmashauri ya wilaya ya Ukerewe italetewa timu ambayo itakuja kufanya ukaguzi maalumu kukagua hesabu. “Timu ya ukaguzi maalumu itaanza kazi kuanzia tarehe 13 mwezi Agosti”. Alisema Sanga.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amelitaka baraza la madiwani kusimamia kikamilifu halmashauri ili kuepusha kuendelea kutengeneza hoja na kuweka msisitizo na nguvu katika kujibu hoja. Mongella amewataka timu ya menejimenti na wataalamu kujikita katika kujibu hoja na kutoa ushirikiano wa kuweka vielelezo ilikusaudia kuondoa hoja hizo. Pia amemwagiza mkuu wa wilaya kusimamia vema fedha zilizoletwa kujenga kituo cha afya Muriti ambapo serikali imetoa 400,000,000.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Frank S. Bahati ameeleza kuwa ameunda timu ya wataalamu ambayo inashughulikia na inafuatilia ujibuji wa hoja na hatua mbali mbali zimechukulia na kuongeza mwamko katika kuondoa hoja hizo kuanzia 2002. Pia kumekua na upungufu wa wakuu wa idara, na upungufu wa wahasibu katika ofisi ya fedha.

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Nyamaha amesisitiza kuwa baraza analoliongoza lipo imara na amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa Madiwani wataendelea kusimamia kikamilifu halmashauri na wataalamu. 



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.