• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MONGELLA ATAKA BARAZA KUSIMAMIA MAPATO NA MATUMIZI.

Posted on: August 19th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amehudhuria baraza la madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali za mwaka wa fedha 2017/2018 pamoja na hoja za Ukaguzi Maalumu uliofanywa na mkaguzi wa nje. Baraza hilo limefanyika katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe.     

Taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) katika Halmashauri ya Ukerewe imeeleza hoja mbalimbali kutokana na ukaguzi huo ambapo Halmashauri inatakiwa kutolea majibu ya hoja hizo.  

Akizungumza kwenye kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amepongeza viongozi wa  Halmashauri na Wilaya kwa jitihada na ushirikiano unaoendelea kufanyika katika kuiletea Ukerewe. Hata hivyo changamoto hazikosenani kwani kuna hatua zimepigwa lakini kuna baadhi ya maeneo bado yanahitaji msukumo zaidi. “Ni imani yetu tutafika mahali pazuri hivyo tuongeze bidii” alisema Mongella.

Mongella ametoa maelekezo kwa menejiment kukusanya mapato na amewataka madiwani kusimamia matumizi ya Halmashauri. Na ameelekeza kila kikao cha robo hoja za ukaguzi ziwe sehemu ya mjadala kwani kufanya hivyo itapunguza mrundikano wa hoja.

“Kuna baadhi ya halmashauri mkoani Mwanza hazina kiwango kikubwa cha mapato lakini zimewekeza zaidi kwenye ukusanyaji wa mapato kiliko matumizi na zina mpangilio mzuri kitu kinachofanya halmashauri hizo kukua kiuchumi”. Alisema Mongella.

 Akizungumzia taarifa ya Mkaguzi Mkuu  wa Hesabu za Serikali  (CAG) amesema makosa yaliyopo kwenye taarifa hiyo na majibu yake hayaridhushi.  “Siwezi kujiingiza mkenge kwa kuunga mkono majibu hayo” alisitiza Mongella.

Kikao hiko kiliudhuriwa na mwenyeji wa Mkuu wa Wilaya Ukerewe Mhe.Cornel Magembe alisema halmashauri inakabiliwa na changamoto kwenye baadhi ya idara kama idara ya ujenzi na ukusanyaji wa mapato.

Aidha baadhi ya madiwani walitoa malalamiko yaliyopo kwenye kata zao Shida ya upataikanaji wa vitambulisho vya taifa (NIDA) kutokana na kuwepo kwa changamoto ya umbali kwa baadhi ya wananchi wanao tokea mbali kwani kituo kipo Nansio. Alisema diwani wa kata ya Ilangala Mhe George Kalagalira nae Mhe. Dismas  diwani wa kata ya Bwisya Alisema wavuvi wamekua waathirika wa tozo nakuongezea.  Akijibu matatizo hayo mkuu wa mkoa Mhe John Mongela alisema tatizo la wavuvi linafanyiwa kazi na kuhusu tatizo la vitambulisho vya taifa ni kwa taifa zima.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mhe. George Nyamaha ameeleza kuwa baraza lake la madiwani limejipanga kusimamia vizuri ili kuhakikisha kuwa wanailetea maendeleo wilaya, aidha ameutaka uongozi wa Mkoa kuendelea kufanya kazi kwa karibu na wilaya ya Ukerewe.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Ester A. Chaula amesema kuwa changamoto zote zinaendelea kufanyia kazi na kwa mwaka huu wa fedha ni matumaini yetu kulingana na umakini mkubwa uliowekwa katika matumizi utatufanya kupata hati safi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.