• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

Posted on: August 24th, 2025

"..Mradi huu utaleta heshima kubwa hapa Ukerewe,ama hakika mmeuthibitishia umma kwamba mnatembea ndani ya maagizo ya Mhe.Rais wetu Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kutenga fedha za mapato ya ndani kutelekeza miradi maendeleo.."

Hayo yamesemwa na mkimbiza mwenge kitaifa ndugu Ally Ismail Ussu wakati mwenge wa uhuru ulipoweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa iliyopo kata ya Nansio.

Akisoma taarifa ya mradi huo Afisa biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ndugu Hashim Kimwaga amesema hoteli hiyo inajengwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo ambapo hadi kukamilika kwake utatumia jumla ya kiasi cha shilingi milioni 790,000,000.00 huku akibainisha hali ya utekelezaji hadi sasa kufikia 80% .

Hashim ameongeza kuwa lengo la Halmashauri kujenga hoteli hiyo ni kuongeza mapato ya ndani ya Halmashauri,kutoa huduma bora ya malazi kwa wananchi sambamba na kupendezesha mji wa Nansio.

Ndugu Ussi amewataka wananchi wa Ukerewe kulipa kodi na tozo mbalimbali kwa wakati kwani ndio njia pekee itakayoweza kuwapatia maendeleo kwa kasi huku akiwasihi wananchi hao kuwa wamiliki wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Ukerewe na sio kupinga kila kitu.

Aidha mkimbiza mwenge huyo kitaifa amewasihi wananchi wote kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu.

Mwenge wa uhuru wilayani Ukerewe umetembelea mradi wa vijana ambao ni wanufaika wa mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri,umezindua bweni katika shule ya sekondari Ukerewe, mradi wa maji, kituo cha afya Kigara na kuweka jiwe la msingi mradi wa hoteli na barabara sambamba na kufungua mradi wa ujenzi wa maduka 42.

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA VYEMA MBIO ZAKE UKEREWE

    August 25, 2025
  • MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

    August 24, 2025
  • UKEREWE MWENGE JOGGING YAHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    August 23, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUENDELEA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO

    August 20, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.