• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

SANLAM YAWAPIGA MSASA KUHUSU BIMA YA MAISHA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA UKEREWE

Posted on: September 5th, 2017

Shirika ya Bima ya maisha la SANLAM kanda ya ziwa limefanya semina ya siku moja kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kuhusu huduma ya bima ya maisha inayotolewa na shirika hilo. Shirika hilo lenye makao yake makuu Dar es Salaam Tanzania lililoanzishwa Cape town Afrika Kusini kwa sasa lipo bara la ulaya katika nchi za Marekani, Uingereza, Ireland, Ufaransa, Uswiswi, Lebanon, Saudi Arabia, India, Malaysia, Ufilipino, Australia nan chi 34 za bara la Afrika.

Lameck Mazubesi Meneja Masoko SANLAM kanda ya Ziwa akiambatana na maafisa masoko wawili wa shirika hilo ametoa wito kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kuweza kujiunga na shirika hilo la bima ilikupata huduma mbalimbali kwa manufaa ya baadae.

Mazubesi ameainisha huduma mbalimbali zinazotolewa na shirika la bima ya maisha kama vile mafao ya uwekezaji (akiba), mafao ya maisha yatolewayo kwa mrithi, malipo ya mfuko, uwezo wakuchukua akiba kidogo uwapo na dharura, mafao yakusitisha mkataba na uwekaji wa pamoja. Aidha alisisitiza ni vema kwa watumishi kujiunga shirika lao ili kunufaika na malipo watakayoyapata pindi watakapokuwa wamefikwa na matatizo na hivyo kuwa sehemu ya faraja kwao. Faida zingine ni pamoja na kurudishiwa 10% ya michango yako yote kila baada ya miezi 60, kuwa na uwezo wa kuchukua akiba kidogo unapofikwa na dharura, wategemezi kuendelea kulipiwa michango yao hata pale mlipaji anapokuwa amepoteza maisha, msaada kifedha ukipoteza mpendwa wako.

Mazubesi alitoa shuhuda mbalimbali kutoka kwa watu walionufaika na huduma ya shirika hilo la bima ambapo aliainisha kuwa kwa sasa wameingia mkataba na Bank ya NMB na malipo kwa njia ya simu ya mkononi ili kuwarahisishia wateja wao huduma pindi wawapo kwenye matatizo. Alihitimisha kwa kuwataka watumishi kujiunga na shirika hilo la bima ya maisha ili wanufaike na huduma nzuri wanazotoa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.