• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

SERIKALI YAZINDUA ZOEZI LA UPULIZIAJI WA KIUATILIFU CHA KUUA MBU KATIKA KAYA 87,599.

Posted on: February 28th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe amezinduazoezi la upuliziaji wa kiuatilifu cha kuua Mbu majumbani linalotekelezwa naSerikali kwa kushirikiana na shirika la Abt Associates chini ya ufadhili waSerikali ya Marekani kupitia USAID na takribani zaidi ya TSH Bilioni 5.015zitatumika katika kufanikisha zoezi hili Katika Wilaya ya Ukerewe.

Zoezi linalotarajiwa kuanza tarehe 3/3/2020 mpaka tarehe 30/3/2020 likiwa na lengo kubwa la kukabiliana naugonjwa wa Malaria ambao kwa mkoa wa Mwanza Wilaya ya Ukerewe Ndio unaoongozakwa takwimu za 2019 ni 39%ya wagonjwa wa nje yani (OPD) walikua na vimelea vyaMalaria na wajawazito 16 kati ya 100 wana vimelea vya malaria.


“Nilengo la serikali kuhakikisha wananchi wake wako na kinga thabiti na Bora ilikuakikisha inakua na jamii yenye afya Bora na kuto kuathiri nguvu kazi ambayoni tija kwa mtu binafsi na nchi”. Alisema Magembe

Magembe ameeleza kuwa zoezi litafanyika katika Wilayayote ya Ukerewe katika kata zote 25, vijiji 76 na vitongoji 514 na kazi hiiitatekelezwa na wananchi wenyewe katika maeneo yao wapatao 1,105 ikiwa ni watu622 wenye mikataba ya muda mfupi na viongozi wa vitongoji hivyo limekua zoeziLenye fursa ya ajira za muda kwa wananchi.

Natoa wito kwa viongozi wote kuanzia ngazi za vitongojimpaka Wilaya kushiriki kikamilifu kwa kihamasisha na kukabiliana na hujuma yaaiana yoyote yenye lengo ovu la kukwamisha zoezi hili lenye tija katika Afya zawanaukerewe. Hatua kali zitachukuliwa kwa atakae bainika kuhujimu utekelezajiwa zoezi hili kwa namna yoyote ile. Aliongeza Magembe.

“Pasiwepo kwa nyumba itakayo achwa katika kunyunyiziakiuatilifu cha kuua Mbu majumbani”. amesisitiza Magembe.

“Ziro Malaria inaanza na Mimi,Ukerewe bila Malariainawezekana”


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.