• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

SERIKALI KUENDELEA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WAJASIRIAMALI UKEREWE

Posted on: September 23rd, 2025

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan inaendelea kuuunga mkono juhudi za makundi mbalimbali ya wajasiriamali wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi hasa hasa sekta ya uvivu ambayo imebeba  shughuli nyingi tegemewa ndani ya Wilaya ya Ukerewe .

“..Mmefanya kitu kizuri kuungana kwa kutambua nguvu ya muunganiko hii itawasaidia kukuza mtaji wenu,itawarahisishia kupata teknolojia kubwa ya uzalishaji na kupata masoko ya uhakika ,Halmashauri haitaacha kuwapatia pesa vikundi ambavyo vitaonyesha uadilifu kwa kufanya kazi na kutoa matokeo chanya..”

Hayo yamesemwa na  Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde,Christopher Ngubiagai wakati alipotembelea vikundi vitatu vya Tumaini jema,Wagaiwa na Bukasiga ambavyo vimetengeneza shirikisho la pamoja kwa kifupi TUWABU wanaojishughulisha na shughuli za ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ikiwa ni miongoni mwa vikundi wanufaika wa mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri katika kijiji cha Busangumugu kata ya Namilembe ambapo kwa ujumla walipewa shilingi milioni 351 .

Aidha mbali na shughuli za ufugaji samaki kwa vizimba vikundi hivyo vinajishughulisha na uzalishaji wa barafu za kuhifadhia samaki,mradi wa gari (walilopewa zawadi baada ya kushindanishwa na taasisi nyingine za SADC kupitia mradi wa profit blue) na ununuzi wa samaki ,uvuvi wa dagaa kwa kutumia mtumbwi wa mwendo kasi.

Akisoma taarifa ya shughuli zinazofanywa na vikundi hivyo Meneja wa kikundi cha Bukasiga Bi.Elizabeth Erasto Majura amesema chama hicho kwa kushirikiana na shirikisho la TUWABU wamepanga kujenga kiwanda cha kukausha dagaa kwa njia ya kisasa kisiwani Gana huku wakimuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuongea na mzabuni waliempatia kazi kukamilisha ujenzi wa miundo mbinu husika kwa wakati.

“Nawapongeza kwa zawadi ya gari mlilopatiwa na SADC ama hakika mmetuwakilisha vyema.Tutawaunga mkono kwa juhudi zenu njema za kupambana na umaskini kupitia tulichonacho,ziwa letu ni la thamani sana tunaweza kufanya vitu vingi vikubwa cha msingi msikilizane muwe wamoja .”amehitimisha Cde,Ngubiagai 

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • JAMII YAPEWA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    September 29, 2025
  • ULINZI WA TAIFA LETU NI JUKUMU LA KILA MTANZANIA

    September 26, 2025
  • JAMII UKEREWE YAASWA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    September 25, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA AMANI NA MSHIKAMANO

    September 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.