• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

SHULE 156 UKEREWE ZAPATIWA MAJIKO YA GESI KAMA MOTISHA

Posted on: February 24th, 2021


Shule 156 zilizopo katika Wilaya ya Ukerewe zimepatiwa jiko la gesi ikiwa ni sehemu ya motisha kwa walimu ili waweze kupata kifungua kinywa asubuhi na chakula cha mchana. Mkuu wa Mauzo na Masoko Taifa gesi Bw. Domician Mkama amekabidhi majiko hayo ili yakawe chachu kwa walimu kutimiza majukumu yao ipasavyo. 

Mkama amesema Taifa Gas imejipanga kuwahudumia wanaukerewe kwa kuwauzia majiko hayo kwani Nishati safi isiyokua na uchafuzi wa mazingira. Amesema hayo wakati wa makabidhiano ya majiko hayo kwa Mkurugenzi Mtendaji Bi. Ester Chaula naye kuyakabidhi kwa walimu wakuu na wakuu wa shule zote wilayani hapa na kushuhudiwa na Mgeni rasmi Mhe Cornel Magembe Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe. 




Mkama ameeleza Mtungi mmoja unauzwa kiasi cha Tsh 45,000/- lakini Kwa kuanza utauzwa kwa bei ya Tsh 40,000/- kwa mtungi mdogo

Na walimu watawekewa utaratibu wa kukopeshwa na kulipa taratibu mitungi wa 15 kg. Amewaalika walimu baada ya saa za kazi kuja na kuwa mawakala wa kuuza gesi hizo na kujiongezea kipato.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bi. Ester Chaula Amewashukuru Taifa gas kwa kuwapatia walimu wa gesi hizo kwani Zitakua manufaa kwani itawasaidia kupata chai na ni uhifadhi mzuri wa mazingira.

Amewataka Walimu  kutunza vema majiko hayo na yatumike kwa ajili ya walimu wote shuleni na sio nyumbani kwa mwalimu Mkuu.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mhe. Joshua Manumbu Awashukuru kampuni hiyo kwa kuona umuhimu wa walimu katika kazi yao. “Nashukuru sana kwa kufanya hili ukerewe Shule kama taasisi itakua chachu nzuri ya wanafunzi kujifunza kutumia gesi mbadala”. Alisema Manumbu.


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Cornel Magembe afurahishwa na kampuni hiyo ya kizalendo ambayo imewajali walimu.

“Viongozi wengi wa Wilaya ni walimu na hivyo tunaona changamoto zote za walimu hata katika hili niliona kuwa walimu wanahitaji kupata gas hizi” alisema Magembe.

Aidha Maeneo mengi miti imekatwa na imepungua sana na hivyo mazingira yameharibika. Hivyo ni Wajibu wetu kutumia nishati mbadala wa gesi. “Karibu sana mfanyekazi katika Wilaya yetu ya ukerewe”Aliongeza Magembe.



Afisa Elimu Sekondari Benjamin Sperito ameshukuru sana kwa msaada huo na amewataka kila Shule walimu wapate chai au chakula cha mchana kila siku wakati wa kazi. Kila Shule ulitaweka utaratibu wa kuwa na chakula kwa ajili ya wanafunzi. Shule za Msingi 129 na Shule za Sekondari 27 zote zimepatiwa mtungi mmoja wa gesi. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.