• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

TATHIMINI YA HALI YA LISHE KWA WATU WAZIMA YALETA UFAHAMU

Posted on: October 18th, 2025

Serikali kupitia divisheni ya afya ,ustawi wa jamii na lishe wilayani Ukerewe imeendelea kuwajali wananchi wake kwa kufanya tathimini ya hali ya lishe na kutoa elimu katika maeneo mbalimbali ya minada na mikusanyiko ikiwa ni jitihada za kuhakikisha wananchi wote wanakuwa na afya bora na kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla .

Akizungumza na wananchi waliojitokeza katika mnanda wa Kakukuru uliopo kitongoji cha Makutano ndani ya kata ya Kakukuru Afisa lishe wa Wilaya ya Ukerewe ndugu Ditram Kutumile amesema lengo kuu la zoezi hilo ni kufanya upimaji wa hali ya lishe kwa watu wazima katika minada na mikusanyiko sambamba na kutoa elimu ya ulaji unaofaa na kubainisha jumla ya wananchi 500 wanatarajiwa kufikiwa ambapo hadi sasa watu 350 wamefikiwa sawa na 70% ya lengo.

Ditram ametoa elimu juu ya mtindo bora wa maisha huku akiwataka wananchi kuzingatia lishe bora yenye uwiano sahihi sambamba na kufanya mazoezi mepesi kama kutembea hali inayoweza kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,baadhi ya aina za saratani na shinikizo la damu.  

Nae Afisa lishe katika hospitali ya Wilaya Nansio Bi.Julieth Peter amewaasa wananchi kuzingatia lishe bora inayofaa kwa kula makundi matano ya vyakula ambayo ni vyakula vya nafaka,jamii ya kunde,mbogamboga,matunda,mafuta na sukari bila kusahau maji kwa kuzingatia mchanganyiko wa kiasi unaofaa.

Ahadhi Mkaruka ni mwakilishi wa mwenyekiti wa kitongoji cha Makutano kilichopo kijiji cha Mulutirima anapongeza serikali kwa jitihada kubwa zinazoendelea za kuhakikisha wananchi wote wanafikiwa na elimu mbalimbali za afya huku akikiri huduma hiyo kuwa msaada mkubwa kwa watu kwa kuwaongezea ufahamu.


Revocatus Sebastian ni mkazi wa kisiwa cha Gana yeye amewashukuru wataalam waliotoa huduma hizo za afya huku akiomba ziendelee na zifike mbali zaidi hasa maeneo ya visiwa vingine vidogo vidogo vya Ukerewe.

Huduma nyingine zilizotolewa wakati wa zoezi hilo ni vipimo mbalimbali vya kiafya kama vile kupima uwaino wa uzito na urefu (BMI),hali ya lishe,kipimo cha presha na ushauri wa kiafya vilitolewa bure .


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.