• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

TPA YAKABIDHI MADAWATI UKEREWE

Posted on: October 2nd, 2017

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania Lazaro Twange Upande wa Utekelezaji, akiwa na wataalamu wa mamlaka hiyo wamefanya ziara na kukabidhi madawati 185. Makabidhiano hayo yamefanyika katika shule ya msingi Nkilizya yaliyotolewa kusaidia jitihada za serikali ili kukabiliana na upungufu wa madawati katika shule za Msingi wilayani Ukerewe. Ambapo yatawasaidia wanafunzi kusoma wakiwa wamekaa juu.

Lazaro Twange alieleza kuwa Mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania inasera ya kusaidiana na jamii kwenye jitihada zao za kujiletea maendeleo. Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania ni taasisi ya Umma ambayo kwa muongozo wa sasa wa serikali faida tunayoipata hua inatengwa kwa kazi na sehemu nyingine hutumika kusaidia wananchi katika jitihada za kujiletea maendeleo katika sekta mbalimbali kama elimu na afya.

Kwa mwambao wa ziwa victoria mamlaka inatarajia kutumia milioni 75 kwaajili ya kushirikiana na wananchi katika kazi tofauti tofauti zinazoendelea. Jambo linalofurahisha ni kwamba katika shule hii ya Nkilyizya hakuna mtoto anaekaa chini. Ameahidi kuendelea kushirikiana na serikali ya wilaya katika jitihada mbalimbali za maendeleo, alisema Twange.

Focus Majumbi Katibu Tawala Wilaya ametoa neno la shukrani kwa Mamlaka ya Bandari Tanzania kwa kuungana na jitihada za wilaya katika kutatua changamoto za elimu hasa katika upande wa madawati. Hali ya upungufu wa madawati ilikuwa kubwa lakini kwa sasa imeshuka na kubakiwa na madawati takribani 2000.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Moses Nduligu amepongeza na kushukuru kwa msaada huo na kutoa rai kwa wadau wengine kuweza kujitokeza katika kusaidiana katika jitihada za kuboresha miundombinu ya elimu katika wilaya ya Ukerewe. Miongoni mwa shule za msingi zilizonufaika na mgao huo ni pamoja na Mtoni, Kakerege, Kumambe, Bukungu, Kome,, Muhula, Hamzilo, Hamkoko, Nansio, Nkilizya, Buguza, Bugorola, Halwego, Malegea, Bugula, Muriti, Nsenga, Mwigoye na Nampisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.