• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

" TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

Posted on: June 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde Christopher E.Ngubiagai amewaasa wananchi wa Ukerewe kuendelea kudumisha amani ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kuzalisha zaidi katika shughuli zao za kiuchumi ikiwa ni sehemu ya kujiletea maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na Wilaya kwa ujumla.

Akizungumza na wananchi wakati wa mkutano wa hadhara kusikiliza kero mbalimbali katika kijiji cha Muluseni kilichopo kata ya Ngoma  Cde Christopher amesema ni wajibu wa kila mwanachi kudumisha amani kwenye eneo lake.

"..tunaelekea kipindi cha uchaguzi mkuu ambao utahusisha kuchagua madiwani,wabunge na Rais kila mmoja ana uhuru wa kumchagua anaemtaka ,mshindane kwa hoja na tutambue kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi.."

Amewataka wananchi wa Ukerewe kuwa makini na viashiria vyovyote hatarishi vinavyoweza kudhoofisha amani iliyopo na kutoa taarifa haraka kwa vyombo ulinzi na usalama.

Aidha amewataka wazazi kuacha tabia za kutelekeza watoto na kuwalea katika misingi bora ya upendo ikiwa ni sehemu ya kupunguza matukio ya ukatili yanayoendelea ndani ya jamii.

Nae Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Dkt.Dkt. Charles Mkombe amefafanua umuhimu wa watoto kupata chakula shuleni na kuwataka wazazi na walezi kuona umuhimu wa kuchangia huduma hiyo kwa ajili ya watoto wao.

Sophia Masato ni mkazi wa kijiji cha Muluseni yeye anapongeza juhudi za serikali kwa kuwajali wananchi wake kwa kuwatembelea na kusikiliza kero zao.

"Inatia moyo kwa kweli,hata kama itachukua muda angalau wametusikiliza."

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.