• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

" TUNA KILA SABABU YA KULINDA AMANI YETU ." - DC NGUBIAGAI

Posted on: November 25th, 2025

"..amani ndiyo mtaji wa maendeleo yetu, tukiwa wamoja hakuna jambo litakalo shindikana, Ukerewe inajengwa na sisi wenyewe kwa umoja wetu hivyo tunakila sababu ya kuilinda amani yetu.."

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Bukonyo kata ya Namilembe ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara za zake za kawaida kutembelea wananchi,kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili .

Aidha amewataka wananchi hao kuwaheshimu na kuwalinda viongozi waliochaguliwa ili waweze kusimamia sheria zitakazotenda haki kwa kila mmoja hali itakayozidi kuimarisha amani na utulivu ndani ya jamii.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vincent Augustino Mbua amesema Halmashauri yake inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo,ili kufanikisha hilo utulivu na mshikamano ni nguzo muhimu huku akiwasihi wana Ukerewe kuwa kitu kimoja.

 Senga Elisha Abeli ni Afisa ushirika wa Wilaya hiyo yeye ametoa ufafanuzi kuhusu mikopo inayotolewa na Halmashauri inayolenga kukuza mitaji na kuimarisha uchumi wa wananchi huku akiwasisitiza wananchi kufuata utaratibu uliowekwa ili waweze kunufaika na mikopo hiyo.

Veneranda Masatu mkazi wa kijiji cha Namilembe ni mkulima ameiomba serikali kuweza kutatua changamoto ya upatikanaji wa mikopo kwa wakati ili kuleta usawa na kujenga mahusiano mazuri kati ya wananchi na serikali yao .

Augustino Mandago mkazi wa kijiji cha Busagami yeye amepongeza jitihada ambazo viongozi wa ngazi za juu wanazichukua kushuka katika vijiji ili kupokea na kutatua kero wanazokumbana nazo.

Cde. Ngubiagai amewasihi wananchi kuwa wa kwanza kutatua changamoto zao huku akiwataka kuheshimu maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya matumizi ya kijiji ili kuondokana na migogoro inayoweza kuepukika kwa kupanga matumizi sahihi ya ardhi yao.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.