• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

TUNAWAAGIZA KULINDA AMANI,TUNAWASHA MOTO WA AMANI

Posted on: October 10th, 2025




Mwenyekiti wa Jumuiya ya maridhiano na amani Tanzania (JMAT) mkoa wa Mwanza Sheikh Mussa Kalwinyi amewaagiza wanaUkerewe kutetea amani ya Tanzania mahali popote watakapokuwepo bila ubaguzi wowote,wa kidini,ukabila na itikadi za kisiasa hasahasa katika kipindi hiki taifa la Tanzania linavyoelekea kwenye zoezi la uchaguzi mkuu wa Rais,wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mnamo 29 Oktoba,2025.

".. tunawaagiza kulinda amani,tunawasha moto wa amani.."

Jumuiya ya maridhiano na amani ni taasisi iliyosajiriwa,inayofanya kazi na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikihusisha dini mbalimbali.

Akifafanua malengo ya JMAT kukutana na wajumbe wa kamati hiyo wa Wilaya ya Ukerewe Makamu mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mchungaji Josephat Magumba amesema lengo la kusanyiko hilo ni kutoa maelekezo ya kuhamasisha amani, kuhamasisha wananchi wajitokeze kwenda kupiga kura na kuliombea taifa.

"..kitu ulichonacho siku zote huwezi kuona thamani yake, amani tuliyo nayo tusiichezee kwani pindi itakapotoweka kuirejesha ni kazi,tujifunze kwa majirani zetu mataifa ambayo hayana amani tusitamani hali hiyo.." Amesema mchungaji Josephat 

Nae mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe ambaye pia ni Katibu tawala wa Wilaya hiyo ndugu Allan Augustine Mhina amekemea vikali masuala ya watu kuchochea vurugu na wengine kupanga kuandamana bila kibali.

"..sisi kama viongozi wa serikali ya Ukerewe hatuko tayari kuona amani inatoweka wakati tunafahamu wapo watu ambao hawajiwezi ikitokea machafuko wengi wanaumia bila hatia.."amesema Mhina 

Zainab Kimei ni mjumbe wa kamati hiyo Ukerewe, yeye amewaasa wananchi wote kuwa kitu kimoja linapokuja suala la kulinda amani.

Akihitimisha kusanyiko hilo mshauri wa JMTA mkoa wa Mwanza Sheikh Mohamed Yusuph Hassan amewaomba viongozi wa dini kuhubiri amani na kuwa washauri wazuri kwa serikali na kupinga masuala yote yanayolenga kuhatarisha amani ya taifa.

" Tanzania yetu,amani kwanza "


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.