• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

UGAWAJI WA KADI ZA CHF ILIYOBORESHWA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI

Posted on: February 13th, 2019

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ukerewe ndugu Focus Majumbi amekabidhi kadi za CHF iliyoboreshwa kwa kaya za watu wenye ualbino ambapo kaya 25 zimekabidhiwa vitambulisho hivyo katika ukumbi wa Albino uliopo bukongo ambapo kila kaya inakuwa na wategemezi 6 watakao tibiwa kupitia CHF.

Majumbi amepongeza kwa hatua hiyo kwani vitambulisho hivyo vitawawezesha watu wenye ualbino zaidi ya 36 kutoka katika kaya 25 kupata matibabu katika hospitali mbalimbali tofauti na hapo awali walikua wakitibiwa katika zahanati pekee.

Ramadhani Halfan Mwenyekiti wa Chama cha watu wenye Ualbino Ukerewe ameshukuru kwa ushirikiano unaoendelea kutolewa na wadau mbalimbali hapa wilayani na nje. Kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali kama LILIAN Foundation na KCBRP limewawezesha kutoa elimu katika kukusanya makundi mbalimbali katika jamii na kutoa elimu ya kuondoa unyanyapaaji.

Aidha Focus Majumbi amekabidhi vifaa vya kujikinga jua kwa kaya za watu wenye ualbino ili kuwakinga na mionzi ya jua, vifaa hivyo vimetolowa na LILIAN Foundation kupitia Karagwe Community Based Rehabilitation Program mradi ulioanza mwaka 2017 na unatarajiwa kuisha January 2020 umewezesha kupatikana kwa vifaa hivyo ambavyo ni kofia 90, miamvuli 90, mabegi 90 vyenye thamani ya Tsh. 2,070,000/-.

Ignant Kapira Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ukerewe ameahidi kuendelea kuhakikisha watu wenye ualbino hawapati adha yoyote, kwa kuangalia usalama na kupambana na wote wanaowatishia kwa namna moja au nyingne . ameeleza polisi ina dawati maalum kushughulikia matukio ya namna hiyo hivyo amewaondolea hofu. Amepongeza wanaukerewe na kuwataka kuendelea kuwalinda watu wenye ulemavu kwani  ni miaka miwili tangu aripoti Ukerewe hakuna tukio baya lililoripotiwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.