• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

UKEREWE WAASWA KUTUMIA FURSA YA UWEPO WA CHUO CHA VETA

Posted on: August 16th, 2025

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Ndugu Josephat Mazula amewataka wananchi wa Ukerewe kuwa mstari wa mbele kutumia fursa ya uwepo wa chuo cha ufundi stadi VETA kilichopo kata ya Bukanda kijiji cha Muhula kwa kupeleka wanafunzi wengi wazawa kwani ujuzi haupotei na uumpa uwanda mpana mwenye nao kuamua nini cha kufanya kujiimarisha kiuchumi.

Ameyazungumza hayo  wakati wa hafla ya kutuku vyeti kwa wanafunzi 22 wa kozi za muda mfupi waliohitimu mafunzo ya fani mbalimbali za ushonaji, umeme,mabomba na kompyuta.

"..Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwekeza na kuboresha miundo mbinu wezeshi kwa ajili ya kupata mafunzo ya ufundi katika nyanja mbalimbali.Hapa Ukerewe tayari tunacho chuo kizuri kabisa cha VETA mnakokwenda mkawe mabalozi wazuri kwa kutumia ujuzi wenu ipasavyo.."

Nae Mkuu wa chuo hicho Mhandisi Deusdedith Shinzeh amesema viongozi na watumishi wa chuo hicho wamepewa dhamana kubwa na kuweka wazi uwepo wa wanafunzi wenye digrii ambao wanatekeleza agizo la waziri Mkuu kuhusu kuongeza ujuzi katika taaluma zao.

Amri Bushiri ni mkufunzi wa somo la stadi za maisha na masuala ya afya ya uzazi na UKIMWI na ujasiriamali somo ambalo ni lazima kwa fani zote anasema mbali ya kuwaandaa wanafunzi na ufundi chuo kiliona umuhimu wa wanafunzi wote kupata elimu ya kujitambua miili yao sambamba na kuwawezesha kupambana na mazingira tofauti tofauti katika kuishi kwao.

Michelle Moris ni miongoni mwa wahitimu kutoka mkoa wa Mara katika fani ya ushonaji anapongeza uongozi wa chuo kwa mafunzo na miongozo mizuri walioipata chuoni huku akiahidi kuwa balozi mzuri.

Akihitimisha hafla hiyo ndugu Mazula amesisitiza jamii kuona umuhimu wa elimu kwani ni msingi wa kila kitu na kuwataka wahitimu hao kuwa chachu ya mabadiliko katika maeneo waliyotoka ili kuwa na kesho bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI AAHIDI USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    September 04, 2025
  • MKURUGENZI MBUA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO IDARA YA AFYA

    September 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA VYEMA MBIO ZAKE UKEREWE

    August 25, 2025
  • MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

    August 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.