• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

UKEREWE YAADHIMISHA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI

Posted on: March 24th, 2018

Siku ya kifua kikuu duniani inaadhimishwa tarehe 24 ya mwezi Machi, ambapo katika wilaya ya Ukerewe siku hiyo imeadhimishwa kwa watukupatiwa elimu juu ya ugonjwa wa kifua kikuu na dalili zake. Zoezi la kuadhimisha siku hii ya Kifua kikuu duniani hapa wilaya ya Ukerewe imefanyika katika eneo la Selema.

Mratibu wa zoezi hilo la utoaji elimu wa Kifua kikuu ni Dkt. Titus Kaniki amesema maadhimisho haya hufanyika kila mwaka na mwaka huu 2018 yameadhimishwa katika eneo la Selema kata ya Bwiro, ambapo watu wamepewa elimu ya ugonjwa wa kifua kikuu, dalili zake, kujikinga pamoja na matibabu.

Katika maadhimisho hayo watu walipewa ushauri wakidaktari pamoja na kuchukuliwa vipimo bure pasipo na gharama yoyote. Kaniki akiwa ameambatana na wauguzi wamewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika vituo vya afya katika maeneo yao na hospitali ya wilaya na wamesisitiza kuwa matibabu ya kifua kikuu ni bure.

Watuwengi wa Selema na kata ya Bwiro wamejitokeza na wengine kuleta ndugu zao iliwapate matibabu yaliyokua yakitolewa hapohapo. Pia Kaniki ameainisha dalili za kifua kikuu kuwa ni pamoja na kukohoa kwa wiki mbili au zaidi, kukohoa makohozi yenye mchanganyiko wa damu, kutoka jasho kwa wingi hasa wakati wa usiku hata maeneo ya baridi, kupata homa za mara kwa mara wakati wa jioni kwa wiki mbili au zaidi, kupungua uzito.

Ameeleza kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugunjwa wenye uhusiano na ugonjwa wa upungufu wa kinga mwilini ya ukimwi hivyo amewaasa watu kutonyanyapaa wagonjwa kwani wanoumwa ni watu ambao tuponao kwenye jamii.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.