• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Ukerewe yapiga marufuku Viroba na madawa ya kulevya

Posted on: March 16th, 2017

Wilaya  ya Ukerewe imepiga marufuku matumizi ya pombe zijulikanazo kama viroba na matumizi ya madawa ya kulevya ikiwemo bangi katika kutekeleza adhma na agizo halali la Serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Estominh F. Chang’ah ambaye ni mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya kwa kushirikiana na kikosi kazi kilichoundwa cha kupambana na matumizi na biashara ya pombe aina ya Viroba, na madawa ya kulevya.

Kikosi kazi hiko kimefanya msako na kimefanikiwa kukamata mfanyabiasha mmoja Pius Sanga  aliyekutwa na katoni 128 za pombe aina ya kiroba vyenye wastani wa gharama ya shilingi milioni 15.

Msako huo pia umewezesha kukamatwa kwa mtu mmoja anaeitwa Kulwa Deo ambaye amekutwa na misokoto 70 ya bangi na kilo moja (1) unga (madawa ya kulevya). Watuhumiwa wote wanashikiliwa na jeshi la polisi na watafikishwa mahakamani.

“Watu kwa kiasi fulani bado wanajihusisha na ulimaji wa bangi katika baadhi ya maeneo nawataka waache mara moja kwani kikosi kazi bado kinaendelea na msako katika maeneo yote ya Wilaya hadi visiwani”, alisema Chang’ah.

Kuendelea kutumia viroba, bangi na dawa za kulevya ni hatari sana kwa afya ya binadamu kwani vina athari mwilini, pia ni chanzo cha ajali kwani wapo waendeshaji wa vyombo vya usafiri wa barabarani wanatumia hivyo ili kuepukana na matatizo hayo amewataka watu kutokujihusiha kwani ni kinyume na agizo halali la Serikali.

Chang’ah amewataka wananchi kuacha mara moja biashara ya viroba, bangi na dawa za kulevya kwani yeyote atakae kamatwa na kikosi kazi kinachoendelea na msako atachukuliwa hatua kali za kisheria. Ametoa rai kwa wananchi wema kushirikiana na jeshi la polisi kwa kutoa taarifa kuhusu watu wanao jihusisha na bangi, dawa za kulevya na viroba.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.