• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Ulinzi na Usalama wa Mtoto.

Posted on: April 5th, 2017

Mtoto ana haki ya kulindwa na kutetewa pale anapotendewa ukatili ni wito uliotolewa na Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Mwanza Wambura L. Kizito katika kikao kazi cha Ulinzi na usalama wa mtoto ambacho kimefanyika katika ukumbi wa hospitali ya Wilaya ya Ukerewe na kimewaweka meza moja wadau kutoka makundi mbalimbali wenye wajibu wa kumlinda mtoto kama maafisa ustawi, mwendesha mashitaka, hakimu mfawidhi, polisi, viongozi wa dini, NGO’s, wawakilishi wa watoto,idara ya maendeleo ya jamii, idara ya elimu msingi na sekondari na idara ya afya.

Watoto hukumbana na ukatili mbalimbali katika maeneo mbalimbali wanapokuwepo, baadhi ya ukatili wanaokutana nao watoto ni pamoja na ukatili wa kihisia ambapo mtoto anakutana na matusi, kinyimwa chakula, kuto thaminiwa, ukatili wa kimwili inaambatana na vipigo,kukatwa viungo vya mwili, kuchomwa moto, kutumikishwa, ukatili wa kingono inahusisha kubakwa, kulawitiwa, kuguswa maeneo binafsi, kunajisi na ndoa za utotoni.

Lengo la uwezeshaji ni kuhakikisha mtoto analindwa na Halmashauri inanafasi ya kuweka mifumo madhubuti ambayo itamtunza na kumthani mtoto na kufuata sera, kanuni na taratibu mbalimbali za kumlinda mtoto na zitasaidia kukabiliana na mila na desturi zisizo rafiki pamoja na rasilimali watu wenye mafunzo na uzoefu wa kutosha katika kumlinda mtoto.

Kizito ameeleza huduma mbalimbali wanazohitaji watoto wanapofanyiwa ukatili ni pamoja na afya,matibabu, sharia, malezi, ushauri nasihi, elimu na ulinzi na amewataka wajumbe kuwahamasisha jamii kuwa walinzi wa watoto kwani mtazamo wa kijamii mtoto akifanyiwa ukatili mara nyingi anasemwa vibaya na wengine wanatengwa.

Katika utekelezaji  Mahakama na jeshi la polisi wanapaswa kujengewa uwezo wa namna bora za kumhudumia mtoto kwani kuna hitaji kuangalia umri na jinsi yake. Hivyo wajumbe wote waliohudhuria mafunzo hayo wametengeneza timu ambayo itahakikisha usimamiaji wa ulizi na usalama wa mtoto, utoaji wa taarifa, elimu na uhamasishaji wa kumlinda na kumthamini mtoto dhidi ya ukatili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.