• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

ULINZI WA TAIFA LETU NI JUKUMU LA KILA MTANZANIA

Posted on: September 26th, 2025

"..ulinzi wa taifa letu ni jukumu la kila mtanzania, kila kijana anatakiwa kushiriki katika ulinzi endapo nchi itakuwa matatani uwepo wa jeshi la akiba ni kwa ajili ya kuimarisha amani na utulivu ndani ya jamii.."

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde, Christopher Ngubiagai alipokuwa akifunga mafunzo ya jeshi la akiba yaliyojumuisha kata za Namilembe, Kakukuru na Ilangara ambapo askari 72 wamehitimu mafunzo hayo yaliyohitimishwa leo katika kijiji cha Nakamwa kata ya Namilembe wilayani Ukerewe.

Akisoma taarifa ya mafunzo hayo Kaimu mshauri wa jeshi la akiba Wilaya ya Ukerewe Nyamsha Mnene Dioniz amesema mafunzo yalianza rasmi tarehe 22/04/2025 yakiwa na idadi ya wanafunzi 58 na kufungwa rasmi leo tarehe 24/09/2025 yakiwa na jumla ya wanafunzi 72.

Ameongeza kuwa wanafunzi hao wamejifunza masomo mbalimbali ikiwemo utimamu wa mwili, usomaji wa  ramani, uhamiaji,kuzuia na kupambana na rushwa, ujanja porini, zimamoto, sheria za jeshi la akiba na mbinu za kivita ili wawe tayari kwa dharura zozote za kitaifa lakini pia kuongeza wananchi ambao wapo tayari kulinda amani ya taifa.

Mhe.Ngubiagai amewataka wahitimu hao kuwa mabalozi wa nidham, maadili kwa lengo la kujenga taifa lenye mshikamano.

Paredi kamanda wa jeshi la akiba John Matondane Denis ni miongoni mwa wahitimu amewasihi vijana wenzake waliopo mitaani kujiunga na jeshi la akiba na waondoe fikra potofu kwamba kuingia mgambo ni kushindwa maisha kwani tayari yeye ana ujuzi ambao anaweza kutumia sehemu mbalimbali akihitajika .

Mbali na kufunga mafunzo hayo Cde, Ngubiagai amewasihi wananchi kujitokeza kwa wingi katika mikutano ya kampeni za wagombea na kupiga kura katika uchaguzi mkuu inayotarajiwa kufanyika Oktoba 29 2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • JAMII YAPEWA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    September 29, 2025
  • ULINZI WA TAIFA LETU NI JUKUMU LA KILA MTANZANIA

    September 26, 2025
  • JAMII UKEREWE YAASWA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    September 25, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA AMANI NA MSHIKAMANO

    September 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.