• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

" UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

Posted on: June 28th, 2025

Aliekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ndugu Emmanuel L.Sherembi amewaasa watumishi wa Ukerewe kuendeleza umoja na ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwa ni sehemu ya kufanikisha mipango mbalimbali ya kuleta maendeleo kwa wananchi.

Ametoa rai hiyo wakati akikabidhi rasmi ofisi na nyaraka mbalimbali za kiutendaji kwa Mkurugenzi mpya ndugu Vincent Augustino Mbua.

Aidha amewashukuru watumishi wote kwa kazi nzuri kwa kipindi chote walichofanya kazi pamoja.

Nae Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ndugu Mbua amemshukuru Mhe.Rais Samia kwa kumuamini na kumpa jukumu hilo huku akiahidi kushirikiana na timu aliyoikuta kwa maslahi mapana ya wana Ukerewe na taifa kwa ujumla sambamba na kumpongeza Mkurugenzi aliyekuwepo kwa kazi nzuri ya kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato.

".. wananchi wetu wana imani kubwa na sisi watumishi wa umma, tusiiwaangushe,tuwasikilize tutende haki.."

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.