• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

UTAMBULISHO WA MRADI WA MTOTO MWEREVU UKEREWE

Posted on: February 3rd, 2018

Serikali ya Uingereza kupitia Idara yake ya maendeleo ya kimataifa (UKaid) imeingia makubalianao na IMA World Health, kutekeleza mradi wa kupunguza udumavu nchini Tanzania. Asasi kadhaa zilishindana kupata ridhaa ya serikali ya Tanzania na UKaid, kutekeleza mradi husika. Ofisi ya Waziri Mkuu iliratibu mchakato wa kuchagua eneo la mradi na asasi washirika katika utekelezaji wa mradi huu. Mradi huu unatekelezwa katika mikoa mitano ya kanda ya ziwa ambayo ni Mwanza, geita, Kagera, Shinyanga na Kigoma katika Halmashaurti zake zote kwa miaka mitano yaani 2015-2020. Mradi huu umetenga kiasi cha fedha, shilingi za kitanzania 129,929,000/=, 92,755,000/= kwa utekelezaji hatua ya pili kwa mwaka huu wa fedha 2017/2018.

Mradi huu wa mtoto mwerevu kwa kiingereza ni Addressing Stunting in Tanzania Early (ASTUTE) among children under 5 years of age umetambulishwa na Dkt. Kaniki ambaye ni mmoja wa wawezeshaji walioutambulisha mradi huu kwa Waheshimiwa madiwani ili kuweza kuufahamu na kuwajengea uwezo kuweza kuwawahamasishaji katika maeneo yao ambapo ndio wananchi walipo. Ni vema Ukerewe ikatekeleza mradi huu kama makubaliano yalivyo ili tufungue milango kwa wahisani wengine wa maendeleo. Alisema Dkt. Titus Kaniki.

Tabia lengwa za mradi ni pamoja na mzazi kunyonyesha maziwa ya mama “pekee” kwa kipindi chote cha miezi sita ya mwanzo, mtoto akifikisha umri wa miezi 6 apatiwe chakula mchanganyiko chenye lishe bora ikiwemo samaki, mayai, maziwa, mboga za majani na matunda. Familia kuweka mazingira katika hali ya usafi (kuepuka magonjwa), kunawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka (kuepuka magonjwa), kwa ukuaji bora wa akili, familia ijenge tabia ya kuongea na kucheza na mtoto. Akina baba, wawapungie kazi wanawake kipindi chote cha ujauzito na unyonyeshaji ili wapate muda wa kunyonyesha, kuwasilisha na kuwatunza watoto.

 Mikakati mihsusi ya mradi itakayotumiwa ilikufikia lengo la kupunguza udumavu ni pamoja na kutembelea kaya zote zenye walengwa na kujadiliana kuhusu kuboresha afya na lishe za wajawazito, wanaonyonyesha na watoto wadogo. Kuendesha mafunzo kwa wahudumu wa afya (HFWs) na wale wa afya ya jamii (WAJA) ili waweze kutoa huduma stahiki na kufanya unasihi kwa akina mama kuhusu lishe na afya bora ya mtoto. Kutumia vikundi vya uhamasishaji kuhusu kubadili tabia ambapo maswala mbalimbali ya makuzi na maendeleo mazuri ya watoto yatajadiliwa. Mawasiliano kupitia vyombo vya habari hasa radio, ujumbe kupitia simu za mkononi kufikisha taarifa mbalimbali kwa walengwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.