• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Uzinduzi wa Ugawaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa watumishi wa Serikali Ukerewe.

Posted on: April 5th, 2017


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Estominh F. Chang’ah amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa watumishi wote wa Serikali walio andikishwa Wilayani Ukerewe. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri ambapo amepongeza zoezi limefanikiwa kwa asalimia 97%. Kitambulisho kitarahisha huduma mbalimbali na kuongeza maendeleo na kupunguza urasimu na itasaidia hata kwa watumishi watakao hitaji mikopo ya kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo.

Shahidu D. Mrabyo Afisa Msajili (W), ameeleza kuwa zoezi la uandikishaji lilianza tarehe 3/4/2016 na Katika zoezi hilo jumla ya watumishi waliotakiwa kusajiliwa ni 3103 lakini watumishi 2932 walitambuliwa na kusajiliwa na maafisa wa NIDA kwa kushirikiana na Uongozi husika wa mashirika au Taasisi za serikali, na watumishi 81 walikua tayari wamekwisha sajiliwa sehemu mbalimbali nchini na hivyo kufanya idadi ya wanaotakiwa kuwa na vitambulisho kuwa 3013 na hivyo kufanya zoezi hili kufanikiwa kwa 97.099%.

Vitambulisho vinatengenezwa kwa awamu mbili, vitambulisho 2932 vilivyoombwa, kwa awamu ya kwanza ni vitambulisho 2519 vipo tayari kwa kugawiwa sawa na asilimia 85.91 na vilivyobaki vitakuja katika awamu nyingine.

Kitambulisho cha Taifa kina uwezo mkubwa wa kufanya kazi nyingi kwa pamoja, huko tunako elekea katika teknolojia kitatumika kama kitambulisho cha Taifa, kitatumika kupigia kura, kitatumika kama kadi ya mfuko wa hifadhi ya jamii, leseni ya udereva, passport ya kusafiria, pia itakuwa ni kadi ambayo unaweza kuhifadhia fedha na kuitumia popote kwa kuchanja tu, pia inaweza kutumika kama kadi ya kuingilia uwanjani mf. Uwanja wa Taifa, tutaweza kuitumia kupanda magari ya mwendo kasi na matumizi mengine mengi kulingana na kadri itavyokuwa inaunganishwa na mifumo mbali mbali hapa nchini.

Zoezi linalofuata na ambalo limekwisha anza ni uandikishaji wa wananchi wote ambapo mpaka sasa fomu za usajili zimekwisha sambazwa katika kata zote za Tarafa ya Mumbuga ambazo ni Bukongo, Nkilizya, Kagera, Nansio, Kakerege, Nakatunguru, Bukanda, Namagondo na Ngoma. Ametoa rai kwa wakazi wote wa tarafa ya Mumbuga kwenda kuchukua na kujaza fomu na kuwa na viambatanisho vingi iwezekanavyo ilikurahisisha upatikanaji wa kitambulisho, viambatanisho vinavyohitajika ili kusajiliwa ni cheti cha kuzaliwa, vyeti vya elimu, kitambulisho cha kupiga kura, kitambulisho cha bima ya afya, kitambulisho cha mfuko wa hifadhi ya jamii, TIN namba, kopi ya kitambulisho cha taifa cha mzazi.

Kuhusu mwanachi atakayepoteza kitambulisho cha Taifa atalazimika kulipia Tshs. 20,000/= kwa ajili ya kupata kingine, pia tunatarajia kuanza kusajiri wageni wanaoishi kihalali katika maeneo yetu, kwa hiyo ni vyema kama wapo wakaja kutuona kwa ajili ya kusajiliwa kama wageni.

Mrabyo amemshukuru Mkuu wa Wilaya, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, wakuu wa idara mbalimbali, wakuu wa taasisi mbalimbali za Serikali na watumishi wote wa Serikali Wilayani Ukerewe.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.