• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WADAU MBALIMBALI WAPATIWA ELIMU YA UCHAGUZI UKEREWE

Posted on: September 23rd, 2019

Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wiliaya ya Ukerewe  ndugu Innocent G Maduhu ametoa maelekezo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 24 Novemba, 2019 katika kikao cha kwanza kilichofanyika katika ukumbi mkubwa wa mikutano katika halmashauri ya wilaya ya Ukerewe. Kikao hiko kilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama siasa, viongozi wa dini, viongozi wa asasi za kiraia na wazee, kwa lengo la kupata maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2019.

Akizungumza kwenye kikao hicho msimamizi wa uchaguzi ndugu Innocent Maduhu ametoa maelezo kuhusu maelekezo na matkwa ya uchaguzi wa Serikali za mitaa ambazo zipo kwenye kitabu cha KANUNI ZA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NGAZI YA VIJIJI, VITONGIJI NA MITAA ZA MWAKA 2019. Baadhi ya maelekezo hayo ni pamoja na Tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi ambayo ni tarehe 24 Novemba 2019, vigezo vya wanachi wanao paswa kupiga na kupigiwa kura kushiriki kwenye uchaguzi na kipindi sahihi cha kundesha kampeni.

”Serikali za mitaa ndizo zinazounda Serikali kuu hivyo zapaswa kutiliwa maanani kiutendaji ili kupata maendeleo mazuri katika serikali za mitaa na serikali kuu kwa ujumla”. Alisema Maduhu akihimiza ushiriki wa dhati wa wananchi katika uchaguzi huo.

Akijibu baadhi ya maswali ya wadau walio hudhuria kikao hicho Maduhu amesema kila mwananchi atapaswa kupiga kura katika eneo alipojiandikisha kwa mujibu wa kanuni za uchuguzi wa serikali za mitaa. Pia amesema viongozi wa kiserikali wana nafasi sawa kama vile kutoa elimu, kumshauri msimamizi wa uchaguzi na hata kukemea pale inapopaswa.

Akihitimisha kikao hicho Maduhu amesema maswali mengi yaliyoulizwa majibu yake yapo kwenye KANUNI ZA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NGAZI YA VIJIJI, VITONGOJI NA MITAA ZA MWAKA 2019. Pia amewahimiza wajumbe hao kutopotosha jamii bali wawe mstari wa mbele  kutoa elimu na majibu sahihi kwa maswali watakayo ulizwa na wananchi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.