• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WADAU WA UVUVI WAJADILI CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI KATIKA UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA

Posted on: October 13th, 2025

Wadau wa uvuvi wilaya ya Ukerewe wamekutana kujadili changamoto zinazowakabili katika ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba sambamba na changamoto za mikopo kutoka taasisi mbalimbali za kifedha zinazowahudumia kikao kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde,Christopher Ngubiagai amesema lengo ni kusikiliza, kuchambua na kusuluhisha changamoto za wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba na kuhakikisha uwekezaji wao unaleta tija kwao na Wilaya kwa ujumla.

"...ni lazima tukubaliane kuwa uvuvi ndiyo kipaumbele chetu katika Wilaya ya Ukerewe hivyo lazima tuwekeze katika sekta hii, ni vema tubainishe changamoto tunazokumbana nazo ili tuangalie njia bora za za kuzitatua ili tuwekeze kwa faida..." Cde Ngubiagai.

Aidha Cde Ngubiagai amesema miongoni mwa changamoto zilizoainishwa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na vikundi vya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ni pamoja na vifaranga kuwa chini ya kiwango katika ubora na idadi inayoletwa, ucheleweshaji wa ugawaji wa chakula, tofauti kubwa ya idadi ya samaki wakati wa upandaji na uvunaji na mchakato wa maombi ya mkopo kutoka taasisi za fedha.

Kwa upande wake Kaimu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya ukerewe ambaye pia ni Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii Wanchoke Chinchibera amewataka wafugaji hao kuboresha ulinzi na usalama kwa vizimba vyao, lakini pia kutoa taarifa mahala husika kwa changamoto iliyo juu ya uwezo wao kwa wakati.

Akitoa ufafanuzi juu ya changamoto zilizoelezwa Mzabuni wa usambazaji wa chakula na vifaranga kutoka katika kampuni ya Owners General Supply Antony Marwa amewaasa wavuvi hao kuwa na usimamizi mzuri na ufuatiliaji bora wa samaki wakati wa ufugaji, kuzingatia mazingira ya ufugaji lakini pia kupokea maarifa kutoka kwa wafugaji wakongwe na wataalam wa uvuvi ili kuepukana na changamoto zilizojitokeza.

Glacial Marugujo ni Afisa biashara wa Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) amesema mchakato wa utoaji mikopo ulichukua muda mrefu kwa sababu vikundi vingi havikukidhi maridhiano il

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.