• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WADAU WAKARIBISHWA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI

Posted on: June 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde Christopher E.Ngubiagai amewaalika wadau mbalimbali nje na ndani ya Ukerewe kuja kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita katika mapambano dhidi ukatili kwa watoto.

Ameyazungumza hayo wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yanayoadhimishwa kila mwaka Juni 16 ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka zaidi ya watoto 100 waliouwawa katika maandamano ya amani Soweto nchini Afrika ya kusini walipokuwa wakidai haki zao za msingi ikiwemo elimu bora.

" Migogoro ya kifamilia imekuwa ikiwaathiri watoto kwa kiasi kikubwa sana kiasi cha kusababisha watoto kujiingiza katika makundi na tabia zisizofaa, wazazi mpunguze ubize wa kutafuta maokoto zungumzeni na watoto wenu.." Amesema Cde Ngubiagai

Akichangia katika mdahalo wa malezi ya watoto Shekhe wa Wilaya ya Ukerewe Shabani Hugo John amesema ni muhimu watoto wafundishwe hofu ya Mungu toka wanapokuwa wadogo kwani itawapa mipaka pale wanapotaka kufanya jambo lolote katika kuishi kwao.

Bernadetha M.Daud ni Mkuu wa dawati la jinsia na watoto katika Wilaya ya Ukerewe amewataka watoto kujilinda kwa kukataa kufanyiwa vitendo hatarishi na wasinyamaze wanapofanyiwa ukatili wa aina yoyote .

Nae Ester Nyanda mwanafunzi wa darasa la 7 akiwa ni mmoja wa washiriki katika bunge la watoto amezitaja haki za mtoto ikiwa ni pamoja na haki ya kuendelezwa kielimu,kulindwa,kutobaguliwa na kushirikishwa katika maamuzi.

Akihitimisha hafla ya maadhimisho hayo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Manumbu ameishukuru idara ya maendeleo ya jamii kwa kuratibu vyema sambamba na kupongeza hatua kubwa ya mafanikio ambayo imefikiwa na Halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • " UMOJA NA USHIRIKIANO NDIO NGUZO YA MAFANIKIO ." -SHEREMBI

    June 28, 2025
  • MASHIRIKI YASIYO YA KISERIKALI YAMEASWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MISINGI INAYOFAA

    June 27, 2025
  • BILIONI 39 KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA KATA YA BUKINDO

    June 25, 2025
  • " TUDUMISHE AMANI YETU." - DC NGUBIAGAI

    June 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.