• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WAJASILIAMALI UKEREWE WANUFAIKA NA VITENDEA KAZI

Posted on: September 9th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Estomihn Francis Chang’ah akiwa ameambatana na Meneja SIDO mkoa wa Mwanza Bw. Bakari Songwe na mratibu wa Uwezeshaji Wilaya Bw. Anord Mafuruu wamekutana na wajasiliamali wa kata ya Namagondo Wilayani Ukerewe ambao wanajishughulisha na ujasiliamali tofauti. Miongoni mwao wapo wanaojishughulisha na ushonaji wa nguo, ufundi wa pikipiki na mashine, na mafundi wa samani.

Mhe. Estomihn F. Chang’ah Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amekabidhi vifaa vya ufundi (toolkit) 10 na cherehani 22 kwa wajasiliamali na vikundi katika kata ya Namagondo. Amewataka wote waliokabidhiwa vifaa hivyo kuvitunza na kuvitumia ipasavyo ili lengo la vifaa hivyo litimie. Amehimiza wananchi kufanya kazi kwa kuwezeshwa kukua kiuchumi kuwa sera ya nchi kwa sasa ni maendeleo kupitia uchumi wa viwanda, hivyo amewataka kuanza kujiunga katika vikundi iliwawezeshwe na kufanya kazi. “Uchumi wa nchi hauwezi kukua kama watu hawapotayari kufanya kazi” alisema Chang’ah.

Amewataka wananchi kutumia mafunzo waliyo yapata kuwasaidia kuweza kujua mbinu bora za mapato na matumizi ili iweze kuendeleza mtaji wake na kuweza kuongezeka kibiashara na kuachana na shughuli zinazowapatia kipato kwa njia ya udanganyifu, hivyo amehimiza ubunifu mkubwa ili kuweza kuinuka kiuchumi na amewataka kutokukata tama na kufanya kazi kwa bidii kama Mhe. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anavyosisitiza watu kufanya kazi kwa bidii.

Bw. Bakari Songwe ambaye ni meneja wa SIDO mkoa wa Mwanza ameeleza lengo kuu wa kugawa vifaa hivyo ni kuinua uchumi wa wananchi ha vijana ambao wanania ya kujishughulisha kwa bidii na kuweza kuanzisha viwanda vidogo vidogo ambavyo vitakua na tija kwa mtu binafsi, jamii nan chi kwa ujumla. Akieleza Bw.Emmanuel Ngoinde Afisa Ufundi SIDO mkoa wa Mwanza ameeleza juu ya vifaa hivyo vilivyo gawiwa kwa wanavikundi na wajasiliamali wa kata ya Namagondo kuwa vimepatikana kupitia shirika lisilo la kiserikali la Tools For Self Reliance (TFSR) lenye makao yake makuu nchini Uingereza katika visiwa vya Wales ambao wakishirikiana na SIDO walianzisha kongano la mafundi walioko Namagondo (Village Clusters) kupitia dhana ya kongano vijana na watu wengi walipata mafunzo na walibainisha changamoto ya vifaa ambapo awamu ya kwanza walipewa vifaa vya ufundi uhunzi toolkit 14.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.