• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WALA YAMINI KUWATUMIKIA WANANCHI.

Posted on: December 2nd, 2019



Wenyeviti wa vijiji 76, wenyeviti wa Vitongoji 513 pamoja na wajumbe wa Serikali ya Kijiji waapishwa rasmi kwa kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi.


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe Cornel Magembe ameshuhudia viongozi hao wakilaviapo vyao vya uadilifu, utii na uaminifu mbele ya Mheshimiwa Hakimu Charles Bilomela.

Magembe amewapongeza viongozi wote waliopata nafasi ya kuongoza waitumie kuwatumikia wananchi na sio kwa maslahi yao binafsi Bali kwa maeneo watokayo pamoja na nchi kwa Ujumla.


Magembe amewataka kuwa viongozi wenye vielelezo kwani yeyote atakae enda kinyume na maadili hato sita kumuondoa.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mhe George Nyamaha amewapongeza wote walioshiriki Uchaguzi na hasa waliopita kwa ushindi wa kishindo. Amewasisitiza kusimamia maadili na kishirikiana na watendaji wa Vijiji na kata katika kuwaletea wananchi maendeleo. ‘Suala la kusoma mapato na matumizi limekua changamoto nyie mkawasomee wananchi’ alisema Nyamaha akisisitiza uwazi na ushirikiano.

Nyamaha amewasisitiza washirikiane na wakusanya mapato walioko katika maeneo yao na wao kama viongozi wawekioo kwa kutoshiriki katika Uvuvi wa kutumia zana haramu.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ya Wilaya ya Ukerewe Ester A. Chaula amewaelekeza viongozi wote waliochaguliwa wafuate Sheria, kanuni na taratibu wakati wanatekeleza majukumu yao.

Aidha Msimamizi wa Uchaguzi Innocent G. Maduhu amewapongeza viongozi wote waliopata nafasi yakuongoza kuchukulia kazi hiyo kwa umakini. Nae Afisa Uchaguzi wa Wilaya Royald Matiko ameeleza kuwa zoezi limekamilika vizuri na viongozi wote baada ya kuapishwa wanaanza kutekeleza majukumu yao katika maeneo yao. ‘Chama cha Mapinduzi Ndio chama kilichopata ridhaa kwani kimepata viti vyote katika vijiji 76 na vitongoji 513’ alisema Matiko.



Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.