• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WALEMAVU WANUFAIKA NA BAISKELI ZA MIGUU MITATU.

Posted on: September 11th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Estomihn Chang’ah amekabidhi Baiskeli 10 za miguu mitatu kwa walemavu wa kutotembea. Baiskeli hizo zimekabidhiwa katika eneo la hospitali ya wilaya Nansio ambapo wanufaika walikabidhiwa vyombo hivyo kwa matumizi ya kila siku.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amepongeza kwa hatua nzuri iliyo fikiwa na hospitali ya wilaya Nansio kwa kuweza kutenga fedha na kuweza kuwawezesha wanafunzi kupata baiskeli zitakazo wawezesha kuhudhuria masomo yao shuleni na kuondokana na changamoto ya kufika shuleni na kupelekea walemavu kukosa elimu. Pia wajasiliamali walionufaika na baiskeli hizo zitawasaidia kuweza kufanya shughuli za kiuchumi na kujiongezea kipato binafsi na pato la taifa pia.Chang'ah amesisitiza kuwa juhudi ziwe endelevu walemavu wengi waweze kubainishwa ili wawekewe utaratibu wa kuwawezesha. pia amewaeleza kuwa ulemavu sio sababu ya kutokufanya kazi au kusoma hivyo baiskeli hizo ziwasaidie kufanya kazi na kusoma huku zikitunzwa vizuri.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya baiskeli hizo Mganga Mkuu wa Wilaya daktari Joshua Monge alisema baiskeli hizo 10 zimegarimu Tsh 5,090,000/- kutoka kwenye mfuko wa afya wa pamoja kwa lengo la kuwawezesha wanafunzi na wajasiliamali walemavu katika shughuli zao za kila siku na kujiongezea kipato. Kata zilizonufaika ni pamoja na Irugwa, Bwisya, Bukiko, Ngoma, Murutunguru, Bukindo, Bukindo, Bukungu, Igalla, na Muriti.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.