• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WALIMU AJIRA MPYA 2025 WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI

Posted on: July 10th, 2025

Tume ya utumishi wa walimu (TSC) Ukerewe imetoa mafunzo elekezi kwa jumla walimu 131 ajira mpya waliohudhuria mafunzo hayo ambapo walimu 75 ni wa shule za sekondari na 56 shule za msingi ndani ya Wilaya ya Ukerewe.

Akifungua mafunzo hayo katika ukumbi wa shule ya sekondari Bukongo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vicent Mbua amewataka walimu kufanya kazi kwa bidii na kutambua thamani ya wao kuwepo kwenye nafasi hizo.

"..wote mnafahamu bado serikali inaendelea kuweka mazingira mazuri katika kuhakikisha kila mwanachi anapata cha kufanya, sio wote mliomaliza nao wamepata kazi.Ni wakati wenu kuthamini mlichonacho kwa kufanya kazi kwa bidii na weledi mkidimu katika kanuni na miongozo mbalimbali ya kiserikali.Ualimu ni wito muwe tayari kutumikia umma kwa uadilifu.."

Nae Stephen Kushoka Katibu msaidizi TSC Wilaya ya Ukerewe amewafahamisha walimu hao muundo,historia na majukumu ya tume ya utumishi wa walimu (TSC) huku akiwasisitiza kubadili mtindo maisha kwa kuachana na mambo yasiyofaa na kuvaa uhusika wa mtumishi wa umma kwa kuwa na haiba nzuri wakati wote .

Akitoa mada ya haki na wajibu kwa walimu hao Afisa ajira TSC Ukerewe Bi.Magreth Nyanyusa amewataka walimu kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na miongozo inayosimamia utumishi wao wakati wote wa ajira.

Tutayo Siloma ni mwalimu ajira mpya katika shule ya sekondari Pius Msekwa iliyopo kata ya Mulutunguru yeye anaahidi kuwa bora katika kazi yake.

".. Hapa ni kufanya kazi nzuri tu ndicho kitu pekee kitakachotuuza vinginevyo maneno hayasaidii.."

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • UKEREWE YAANZA RASMI UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST

    July 25, 2025
  • WATUMISHI IDARA YA AFYA WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI

    July 23, 2025
  • MKURUGENZI MBUA ASISITIZA MATUMIZI BORA YA MIFUMO YA SERIKALI

    July 22, 2025
  • WALIMU WAELEWESHWA DHANA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE

    July 22, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.