• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WANANCHI UKEREWE WAONGEZEWA UELEWA WA LISHE KUPITIA JIKO DARASA

Posted on: November 21st, 2025

Katika kuadhimisha siku ya lishe kitaifa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kupitia kitengo cha lishe imeendelea kutoa elimu ya lishe kwa wananchi kupitia jiko darasa, shughuli iliyowaleta pamoja kina mama, wazazi na wadau wa afya ambao wamepatiwa maarifa kuhakikisha familia zinapata mlo kamili unaochangia ukuaji na ustawi wa jamii.

Akizungumza katika kijiji cha Kitanga kata ya Kakukuru Afisa lishe wilaya ya Ukerewe ndugu Ditram Kutemile amesema lengo la jiko darasa ni kuwajuza wananchi jinsi ya kuandaa chakula chenye virutibishi kwa viwango vinavyotakiwa.

"... lengo la jiko darasa ni kuboresha mapishi na ulaji bora wa virutubishi kwa kuzingatia makundi yote ya vyakula ili kujenga uimara wa afya kwa jamii..." Kutemile.

Akitoa mafunzo juu ya makundi ya vyakula Afisa lishe hospitali ya wilaya Nansio Bi.Julieth Peter amewaasa wananchi kuzingatia makundi ya chakula ambayo ni vyakula asili ya wanyama, jamii ya mikunde, mbogamboga, matunda na mafuta yasiyo na madhara ili kutengeneza lishe bora.

Annastazia Lusato ni mkazi wa kijiji cha Kitanga yeye anapongeza serikali kwa jitihada kubwa wanazozifanya kuhakikisha wanatengeneza jamii yenye afya njema kupitia elimu ya jiko darasa kwa wananchi.

Revocatus Matage mkazi wa kijiji cha Mibungo amewashukuru wataalam hao wa afya huku akiwasihi wananchi kufuata maelekezo ya mafunzo hayo ili kutengeneza kizazi imara .

Akihitimisha zoezi hilo ndugu Kutemile amewaasa wananchi hao kuwa mabalozi wazuri kwa kuhamishia elimu hiyo katika familia zao ili kupunguza adha ya magonjwa mbalimbali yanayoweza kuepukika kwa kuzingatia lishe bora.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.