• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WANANCHI WAASWA KUENDELEA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO

Posted on: August 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai amewaasa wananchi wa Ukerewe kuendelea kushiriki shughuli za maendeleo kwani maendeleo ndani ya jamii yanaletwa na jamii yenyewe.

Ameyasema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hati ya kukamilisha mradi wa TASAF wa ujenzi wa bweni la wasichana lenye uwezo wa kutoa huduma ya malazi kwa wanafunzi 80 katika shule ya sekondari Mibungo kwa jamii ya kijiji cha Mibungo kata ya Kakukuru.

“..hatuna budi kumshukuru Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mapambano anayoendelea nayo dhidi ya umaskini kwa kutoa fedha nyingi za miradi kupitia mfuko wa  maendeleo ya jamii TASAF..”

Akisoma taarifa ya mradi huo mratibu wa TASAF Ukerewe Bi .Jenitha Byagalama amesema  Halmashauri ilipokea jumla ya kiasi cha shilingi 162,954,748.37 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wasichana ,utengenezaji wa vitanda 80 na uvunaji wa maji lita 10,000.

Miradi mingine iliyokabidhiwa hati za kukamilisha mradi ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa afya (2 in 1) iliyotengewa fedha kiasi cha shilingi 92,084,009.74 katika kijiji cha Bwasa kata ya Igalla pamoja na ujenzi wa bweni la wavulana  iliyotengewa jumla ya kiasi cha shilingi 162,111,099.84 katika shule ya sekondari Illangala iliyopo kijiji cha Gallu .

Ahazi Malegesi ni mwanafunzi katika shule ya sekondari Mibungo yeye anashukuru kwa uwepo wa bweni la TASAF shuleni huku akikiri kuwa litaleta manufaa makubwa kwa watoto wa kike na kuwapunguzia vishawishi vya njiani na mimba zisizotarajiwa.

Aidha Mhe.Ngubiagai ametembelea miradi mingine miwili inayoendelea ya ujenzi wa zahanati ya kijiji Kakerege ndani ya kata ya Kakerege na zahanati ya kijiji cha Chabilungo ndani ya kata ya Mkituntu na kupongeza nguvu ya wananchi  yenye mchango mkubwa katika kufanikisha miradi huku akiwataka wananchi kuthamini mchango wa serikali wa uwekezaji mkubwa kupitia TASAF kwa kulinda miundo mbinu yote na kuhakikisha inatumika kwa usahihi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA VYEMA MBIO ZAKE UKEREWE

    August 25, 2025
  • MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

    August 24, 2025
  • UKEREWE MWENGE JOGGING YAHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    August 23, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUENDELEA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO

    August 20, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.