• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA AMANI NA MSHIKAMANO

Posted on: September 24th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cde, Christopher Ngubiagai amewataka wananchi kuimarisha amani na mshikamano wa kijamii ili kuchochea maendeleo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu .

Ameyasema hayo katika kijiji cha Mulutilima kata ya Kakukuru alipokuwa akizungumza na makundi mbalimbali ya vijana, wanawake, wavuvi, wazee maarufu, viongozi wa dini,wenyeviti wa vijiji na vitongoji, viongozi wa vyama vya siasa ,wanamichezo,waganga wa tiba asilia, wamiliki wa vyombo vya usafiri,wajasiriamali na wafanyabiashara.

".. tuna ziwa kwa nini tuwe maskini,ni muda sasa wa kutumia rasilimali tuliyonayo kuchochea maendeleo." Cde, Ngubiagai

Aidha, amewasihi wajasiriamali na wafanyabiashara kufahamu thamani ya nidhamu ya fedha kama kutunza mtaji, kuendesha biashara kwa mahesabu sahihi, kuongeza ujuzi pamoja na kuweka akiba na kuwekeza ili kutokuyumba kibiashara na kurejesha kwa wakati mikopo ya asilimia 10% inayotolewa na Halmashauri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Vincent Mbua amewataka wananchi kuendelea kuinua uchumi kwa kulipa kodi na tozo mbalimbali ili kukuza mapato ya ndani ya Halmashauri yatakayowezesha kuboresha huduma na kuanzisha miradi ya maendeleo .

Diwani mstaafu wa kata ya Kakukuru mzee Malima Mgeni ameuomba uongozi kuweka mkazo juu ya kuwepo kwa vikao vya wazee na kutengeneza heshima kwa wazee ili kuendelea kurithisha historia ya nchi na kuleta maadili mema.

Mbali na hayo Mhe.Ngubiagai amekemea vikali matukio ya uvamizi na uvunjifu wa amani yanayoendelea kuripotiwa ndani ya kata hiyo na kuwataka wananchi kuacha mara moja tabia hizo wakikaidi sheria itachukua mkondo wake.

Akihitimisha mkutano huo Mwenyekiti wa kijiji cha Mulutilima ndugu Isaya Nyembe Nyigino ameungana na wananchi wa Kakukuru kuishi kwa amani na kushirikiana katika shughuli mbalimbali za uzalishaji kuleta maendeleo ndani ya kata hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • JAMII YAPEWA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    September 29, 2025
  • ULINZI WA TAIFA LETU NI JUKUMU LA KILA MTANZANIA

    September 26, 2025
  • JAMII UKEREWE YAASWA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    September 25, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA AMANI NA MSHIKAMANO

    September 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.