• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Wananchi watakiwa kuwa sehemu ya miundombinu bora ya Elimu.

Posted on: March 23rd, 2017




Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Frank S. Bahati amefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa vyoo katika shule zilizokuwa zimefungwa na kuwasihi wananchi kuwa sehemu ya maendeleo ya elimu katika wilaya ya Ukerewe. Alikutana na Serikali ya kijiji na kamati za shule.

Alitembelea shule tatu ambazo zinaendelea na ukamilishaji wa ujenzi vyoo ambazo ni Shule ya msingi Musozi, shule ya msingi Muhande, na shule ya msingi Malegea. Ujenzi wa vyoo upo katika hatua mbalimbali za kuridhisha ukilinganisha hali iliyokuwepo awali. Shule ya Msingi Musozi iliyopo kata ya Bukindo ujenzi ukikamilika kitakua ma matundu 14 ambapo kimegharimu shilingi 4,425,000/- ambapo fedha za wananchi ni shilingi 776,000/-, Shule ya Msingi Muhande iliyopo kata ya Murutunguru inatarajia kukamilisha matundu 16, Shule ya Msingi ya Malegea iliyopo kata ya Namagondo imekamilisha ujenzi wa matundu zaidi ya 16.

Ametoa agizo kwa Idara ya Elimu Msingi kuwa shule zote zilizofungwa walimu waandae na waanze masomo ya ziada kwa kipindi cha likizo hasa madarasa ya mitihani hii itawasaidia wanafunzi kusoma na kufidia muda uliopotea shule zilipokuwa zimefungwa. Pia amewataka Idara ya Elimu Msingi kufanya uchambuzi wa maeneo yote yenye uhitaji wa kuanzisha shule nyingine ili kukabiliana na wingi wa wanafunzi katika baadhi ya shule.

Bahati amewataka wananchi kuwa wazalendo na kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo na kuachana na itikadi tofauti za watu bali kujihusisha na mabadiliko ya elimu Wilayani. Shule zikiwa na upungufu wa miundombinu rafiki na muhimu kwa wanafunzi itawaweka mahali pabaya watoto hivyo jamii ijihusishe na kuwasaidia wanafunzi ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao.“Jukumu la kuleta maendeleo ya shule na elimu kiujumla sio la Serikali pekee bali ni letu wote, kila mmoja awe chachu ya mabadiliko”, alisema Bahati. Wanafunzi wote wanaendelea na masomo na ukamilishaji wa ujenzi wa vyoo katika shule 11 zilizokua zimefungwa unaendelea.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Frank S. Bahati  pamoja na baadhi ya watumishi wa Halmashauri wameshiriki  ujenzi wa choo katika Shule ya Msingi Muhande kwa kubeba matofali, mawe na kuchimba msingi vya vyoo hivyo pamoja na wananchi wa Muhande.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Frank S. Bahati akikagua choo cha Shule ya Msingi Malegea.

Wananchi na wazazi wakishiriki katika ujenzi wa choo cha Shule ya Msingi Muhande.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.