• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

“WANANCHI WATARAJIE KUONA MAFANIKIO KWENYE BAJETI HII” Mhe Manumbu.

Posted on: February 11th, 2021

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe leo limefanya kikao cha Baraza Maalumu la kujadili Bajeti ya mwaka wa Fedha 2021/2022. Kikao hiko kimefanyika katika Ukumbi Mkubwa wa Halmashauri. 

Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo Mchumi wa Halmashauri Bw. Joachim Tungilo ametaja vipaumbele katika bajeti hiyo ikiwa ni kuimarisha miundombinu ya utoaji huduma za jamii, kiuchumi na kuimarisha miundombinu na mazingira ya utendaji kazi.

Kwa mwaka wa Fedha 2021/2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inategemea kukusanya na kutumia kiasi cha Tsh. 37,108,335,271.00 ambapo Fedha hizo ni matumizi ya kawaida kutoka ruzuku ya Serikali kuu na mapato ya ndani, mishahara, Fedha za utekelezaji wa miradi ya Maendeleo. 

Bi. Ester A. Chaula Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe ameeleza kuwa Makisio ya Mapato ya ndani kwa mwaka wa Fedha 2021/2022 ni Tsh Bil 3.2 na kati ya hizo fedha zitakazoelekezwa kwenye miradi ni Tsh 1,058,575,226. “hivyo ni matumaini yetu kuwa huduma na miradi itakayotekelezwa itaenda kumnufaisha Mwananchi moja kwa moja” alisema Chaula.

Kupitia Baraza la Maalumu la Madiwani linaloongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Joshua Manumbu limepitisha kiasi hiko kwa matumizi ya mwaka wa Fedha 2021/22. 

Manumbu amesema baraza limejipanga kuhakikisha mapato ya ndani yanakusanywa na kutumiwa vema na kiasi tengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo kitapelekwa kwani wananchi wanahitaji kuona mafanikio kupitia bajeti hii. “matarajio yetu ni kukusanya mapato na kuvuka lengo, hivyo kila mtendaji asimame imara katika majukumu yake” alisisitiza Manumbu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.