• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WANAUKEREWE WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA VIRUSI VYA CORONA.

Posted on: March 19th, 2020

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Dkt Raphael Mhana pamoja na timu ya kukabiliana na magonjwa ya milipuko Wilayani Ukerewe wamefanya mafunzo ya namna ya kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona. Mafunzo hayo yamefanywa Katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya, kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, madiwani, timu ya menejimenti ya Halmashauri, watumishi wa Halmashauri, watendaji wa Kata na viongozi wa dini.

Dkt. Mhana ameeleza kuwa Idara ya Afya imejipanga kukabiliana na ungonjwa huu na sasa kinachofanyika ni utoaji wa Elimu wa namna ya kujikinga kupata ugonjwa wa Corona, ametaja Kituo cha Afya Bwisya na Nakatunguru vimetengwa maalumu kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa endapo wakiwepo Wilayani Ukerewe.

Dkt. Mhana ameeleza kuwa kila mmoja kwa sehemu yake achukue tahadhari za msingi ikiwemo kuacha kushikana mikono, kukumbatiana, kunawa mikono kwa sabuni kwa maji yanatotiririka.

“Joto kali kupita kiasi, Homa, mafua Makali, kukohoa, kuumwa kichwa, kubanwa mbavu, vidonda kooni na mwili kuchoka ni dalili za virusi vya Corona.’ Alisema Dkt. Mhana.

Aidha Dkt Mhana Ameeleza kuwa mtu ukiona dalili hizo atoe taarifa kwa watoa tiba ili wafike kumuhudumia na kuweza kupata uangalizi wa karibu zaidi.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe Cornel Magembe amewataka wananchi kuchukua hatua na tahadhari kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na kunawa mikono mara kwa mara.

“Lengo la kuwaita na kuwapa elimu hii ya kujihadhari na virusi hivi vya Corona ni kwamba nanyi pia mkatoe elimu hiyo katika maeneo yenu kama ambavyo leo mmepewa.” Alisema Magembe.

Magembe ameelekeza kuwa Hairuhusiwi kwenda magereza, Mikutano yote ya kisiasa kutofanyika, Harusi sherehe kama sio lazima sana ni vema isogezwe mbele. Amezitaka ofisi za umma na zisizo na umma kuweka maji ya kunawa na vitakasa mikono kwa ajili ya watumishi na zoezi hilo lifanyike katika nyumba za ibada yani makanisa na Misikiti.

Magembe Amewataka Wafanyabiashara wanaotumia mianya ya ugonjwa huu kujinufaisha kwa kupandisha bei za bidhaa kiholela kuacha mara moja.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.