• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Wanawake watakiwakujituma ili kujikwamua kiuchumi.

Posted on: March 8th, 2018

Wanawake wa Wilaya ya Ukerewe wametakiwa kujituma na kujishughulisha ilikuweza kujikwamua kiuchumi  na kueleta maendeleo kuanzia ngazi ya familia hadi taifa amesema hayo Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya katika kuadhimisha siku ya Mwanamke Duniani tarehe 08/03/2018 iliyoadhimishwa katika Ukumbi Mkubwa wa Halmashauri na kuhudhuriwa na Wanawake wa Wilaya ya Ukerewe wakiongozwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Hellen Rocky.

Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani  katika Wilaya ya Ukerewe yamefana na kuadhimishwa kwa namna ya tofauti mwaka huu ambapo wanawake wengi walijitokeza kutoka katika kata zote na wakapatiwa mafunzo mbalimbali yatakayomwezesha mwanamke wa Ukerewe kujikwamua kiuchumi na kusaidia nchi kufika adhma ya Nchi ya Viwanda.

 Baadhi ya mada zilizowasilishwa kwa wanawake ni pamoja na leseni za Biashara na Elimu ya kulipa kodi, kilimo cha kibiashara, ufugaji wa kuku kimkakati,Ushauri wa kisheria na elimu ya vikundi. Akihitimisha mafunzo hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ambaye ndio kaimu Mkurugezi Mtendaji wa Halmashauri amewataka wanawake kutengeneza vikundi na kupata usajili ilikuwawezesha kupata Mikopo itakayowawezesha kutekeleza malengo ya lakini ametoa maelekezo kwa vikundi vilivyosajiliwa kuhakikisha wanatekeleza shughuli zilizoainishwa katika maandiko yao na sio vinginevyo.

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na Uongozi wa Wilaya wa Chama cha Wanawake Tanzania (CWT) na viongozi wa wanawake kutoka vyama vya siasa nao wamewataka wanawake kuwa na umoja na kuhakikisha kupitia umoja huo wanajikomboa kiuchumi.

Maadhimisho ya siku ya Wanawake Machi 8 imebebwa na Kauli mbiu “kuelekea uchumi wa Viwanda, tuimarishe usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake vijijini”

Wanawake Wawilaya pia wameadhimisha siku hiyo pia kwa kutoa zawadi kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ambapo walitembelea Wodi ya wazazi, wodi ya wanawake, wodi ya wanaume na wodi ya watoto. Akieleza katika Utoaji wa zawadi hizo kwa wagonjwa waliolazwa siku ya maadhimisho Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bi. Hellen Rocky amesemawanawake wanawatia moyo na kuwafariji wagonjwa hao kwa kuwapa zawadi na kuwatakia uponyaji wa haraka na kurudi katika majukumu ya ujenzi wa taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.