• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WATAALAM NA WATAFITI WAJADILI MIKAKATI KULINDA TAMADUNI ZA KIKEREWE

Posted on: January 18th, 2026

Wataalam na watafiti wa ndani na nje ya Ukerewe wamekutana katika simpozia kujadili namna ya kuhifadhi na kutafiti lugha, fasihi na tamaduni za Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa halmashauti ya wilaya ya Ukerewe kwa lengo la kujadili mikakati madhubuti ya kulinda na kuendeleza tamaduni za Kikerewe.

Simpozia hiyo iliyoandaliwa na Waadhiri wa Chuo Kikuu cha Napoli L' Orientale (UNIOR) kutoka nchini Italia,Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT), Shirika la utafiti (ISMEO) na Shirika la Kuboresha Mienendo na Desturi kwa Ustawi (KUMIDEU) lililoshirikisha waadhiri wa vyuo vikuu, wanafunzi na wadau wa sekta ya utamaduni wamewasilisha mawazo tafiti mbalimbali kuhusu tamaduni za kikerewe hasa hasa lugha za asili.

Akiwasikisha mada ya lugha ya Kikerewe utafiti na changamoto Abel Lupalula kutoka SAUT amebainisha kutokuwepo kwa sera za lugha na kutokuwahusisha wazee wa mila ni chanzo cha kupotea kwa lugha ya asili.

Mwalimu Bartolomeo Mafuru yeye ameibua methali zaidi ya 600 za Kikerewe nakuthibitisha kuwa nyingi zimepuuzwa kwa kukosa urithi thabiti wa kizazi cha kisasa huku akiwaomba wazee wawarithishe vijana asili yao ili isipotee.

Simpozia hiyo imeonesha uwasilishwaji wa muziki wa Kikerewe kama Endeno, Endongo, Marimba na Enanga zilizowasilishwa na wazee wa Ukerewe ulioambatana na jumbe mbalimbali kwa vijana wa kisasa.

Mzee Sabato Chikore ni mpigaji wa muziki wa endongo yeye anashauri vijana wa sasa kuendelea kuheshimu miziki hiyo na kuirudisha kwenye hadhi yake ili kuenzi utamaduni wa Wakerewe. 

Nje na lugha ya Kikerewe Kiswahili pia kimewasilishwa vyema na Bi. Flavian Aiello wa UNIOR ambapo ameeleza kuhusu utafiti wake wa Historia ya kiswahili nchini Kongo akibainisha kuendelea kukua na kuenea kwa lugha ya kiswahili ambayo imekuwa lugha pendwa na msaada kwa watu wa Kongo.


















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.