• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WATOA HUDUMA ZA CHANJO 66 WAPATIWA MAFUNZO KUIMARISHA HUDUMA HIZO

Posted on: November 28th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kupitia divisheni ya afya,ustawi wa jamii na lishe, kitengo cha chanjo inaendelea na maboresho ya utoaji wa huduma za chanjo katika kuhakikisha kuwa jamii ya Ukerewe inapata huduma hiyo kwa vipindi stahiki kwa ubora.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo mratibu wa chanjo Wilaya ya Ukerewe Ndugu Rajab Abuu Hamza amesema jumla ya watoa huduma 66 kutoka vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya wamepatiwa mafunzo kuhusu mkakati wa vipindi maalum vya kuimarisha huduma za chanjo (PIRI) ambapo miongoni mwao wachanjaji ni 44 na wahudumu wa afya ngazi ya jamii 22.

Rajab amesema lengo la mafunzo hayo ni kujenga uelewa wa pamoja pia ni maandalizi ya zoezi la utoaji chanjo linalotarajiwa kuanza Novemba 29 hadi 03 Desemba 2025 .

Nae kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.Revocutus Cleophace amewasihi wahudumu hao kuhakikisha wanawafikia watoto wote ambao hawajapata chanjo na wale ambao hawajakamilisha ratiba zao za chanjo sambamba na kutoa elimu ya umuhimu wa chanjo katika kuwalinda watoto dhidi ya magonjwa yanayoweza kudhibitiwa na chanjo.

Chanjo zitakazotolewa ni chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano,surua lubela(MR), polio (sindano na matone), saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 na kuwafikia wasichana wenye umri wa miaka 10 hadi 14 ambao hawakufikiwa kwa wakati na chanjo zingine za kawaida.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WALIMU NI NGUZO YA MAFANIKIO

    December 03, 2025
  • DC NGUBIAGAI AWAASA VIJANA KULINDA AMANI

    December 01, 2025
  • AGENDA YA LISHE IWE YA KUDUMU

    December 01, 2025
  • WATOA HUDUMA ZA CHANJO 66 WAPATIWA MAFUNZO KUIMARISHA HUDUMA HIZO

    November 28, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.