• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Wavuvi Ukerewe watakiwa kufuata sheria na kanuni za Uvuvi sahihi ili kutohatarisha mazalia ya samaki.

Posted on: April 25th, 2017

Kisiwa cha Gana ni moja ya visiwa vinavyounda Wilaya ya Ukerewe ambapo shughuli kuu za kiuchumi katika Wilaya ya Ukerewe na visiwa vyake ni Uvuvi kwa kiwango kikubwa na kilimo, hivyo wavuvi wametakiwa kujihusisha na uvuvi unaofuata sheria, kanuni na taratibu kwani utasaidia kuongeza kipato cha wavuvi na pato la serikali kiujumla.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe Frank S. Bahati amefanya ukaguzi wa mialo katika kisiwa cha Gana na kujionea shughuli mbali mbali za uvuvi wa samaki na dagaa, ambapo alitembelea kukagua maeneo ya uvuvi na shughuli wanazifanya katika maeneo ya mialo.

Katika ziara hiyo Bahati aliambatana na Afisa Uvuvi wa Wilaya Abubakari Murshid ambapo walikagua vipimo au rula ya kupima samaki waliokidhi vigezo vya kuvuliwa, hivyo akawaagiza wavuvi wote wa samaki wanatakiwa kuwa na rula yenye vipimo sahihi ambazo hazipotoshi na mizani ziwe nzima. Na kwa yeyeto atakaye bainika kwenda kinyume na maelekezo atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Katika shughuli nyingine Bahati ameongoza idara ya Uvuvi na mifugo katika uchomaji wa zana za uvuvi haramu zilizokamatwa katika maeneo mbalimbali ya wilaya na kutoa tamko kuwa patakua na kikosi kazi cha wataalamu wa uvuvi na doria za uvuvi watakao kuwa wakiishi katika visiwa ili kuweza kuangalia kwa ukaribu shughuli za uvuvi ili kukabiliana na uvuvi haramu unaofanywa na watu wachache wasio penda kufuata na kutii sheria, kanuni na taratibu.


Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.