• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WITO WATOLEWA KWA WANANCHI KUJITOKEZA MAONESHO NANENANE

Posted on: August 3rd, 2025

".. Wananchi mjitokeze kwa wingi kuja kuona na kujifunza maboresho yenye ubunifu mkubwa katika sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi.."

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe.Hashim Abdalah Komba aliemwakilisha mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Geita wakati alipokuwa akifungua maonesho ya wakulima nane nane katika viwanja vya Nyamhongolo vilivyopo wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.

Akisoma taarifa ya maonesho hayo Kaimu Katibu Tawala Msaidizi  Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Mwanza Ndg. Peter Kasele amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la washiriki kila mwaka hali inayoonyesha utayari wa watu katika kujifunza na kupokea vitu vipya.

Aidha Mhe.Komba amewataka wananchi kujifunza kilimo cha eneo dogo chenye tija huku akiwasihi kujipanga na kuchukua mikopo yenye tija kutoka taasisi mbalimbali za kifedha zinazoshiriki ili kukuza vipato vyao katika shughuli wanazojighulisha nazo .

Nae mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher E.Ngubiagai amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha na kuendelea kuwekeza katika sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi ikiwa sehemu ya kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi.

Mbali na hayo Mhe.Komba amegusia kauli mbiu ya maonesho hayo isemayo Chagua viongozi bora kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi 2025 kwa kutoa Rai kwa wananchi kujiandaa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 ,2025  huku akitaja sifa za kiongozi bora kuwa ni kuja na ubunifu mkubwa wa kugusa maisha ya watu wengi.

Julia Masatu ni miongoni mwa washiriki kutoka wilaya ya Ukerewe yeye anapongeza serikali kwa kuwapa fursa hiyo kufanya biashara huku akiomba fursa za namna hiyo kuongezeka zaidi katika maeneo yao.

Maonesho ya wakulima nane nane kanda ya ziwa magharibi yanahusisha mikoa miwili ya Mwanza na Geita kuanzia Agosti 1 hadi Agosti 8 2025 .

















Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA MILIONI 9O6.9

    January 19, 2026
  • MFUMO WA SIS KUONGEZA UFANISI SHULENI

    January 14, 2026
  • WANAFUNZI WASIZUILIWE KUJIUNGA NA SHULE KWA KUKOSA MAHITAJI

    January 08, 2026
  • UKEREWE DC YAZIDI KUJIDHATITI UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 06, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.