• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Utamaduni ,sanaa na michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

WODI TATU ZA WAGONJWA KUJENGWA KITUO CHA AFYA BWISYA

Posted on: September 28th, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Joseph Magufuli amemwagiza Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Aizack Kamwelwe, kuwa fedha zaidi ya shilingi milioni 400 ambazo ni rambi rambi ya ajali ya kivuko cha MV Nyerere kujenga vyumba vya vitatu vya wodi ya watoto,wanawake na wanaume katika kituo cha Afya Bwisya kilichoo kisiwani Ukara.

Katika rambi rambi hizo fedha zilizopatikana ni zaidi ya milioni 900 ikiwa katika ugawaji wa pesa kwa ndugu wa marehemu zilitumika milioni 266,huku zaidi ya milioni 200 zitatumika kuwagawia watu zaidi ya 500 walioshiliki kufanikisha shughuli hiyo ambapo kila mmoja atagawiwa shiringi laki nne.

Akizungumza kwa niaba ya Rais waziri Kamwele wakati akihitimisha shughuli ya ukopoaji wa mili ya marehemu pamoja na kukinasua kivuko alisema,Rais anawashukuiru watanzania wote katika kufanikisha kazi hiyo ambayo ilikuwa imeleta simazi kubwa ndani ya Taifa letu.

“Rais ametoa agizo la fedha zaidi ya milioni 400 zijenge wodi ya akina mama,watoto na wanaume zitakazobaki milioni 200 watapaiwa wale wote walioshiriki kufanikisha kazi hii,suala la uchangiaji litasitishwa leo Septemba 29 majira ya saa saba kamili mchana,”alisema Kamwelwe.

Aidha alisema katika kuwaenzi ndugu zetu utajengwa mnara wa kumbukumbu katika eneo la makaburi na matumizi madogo madogo ya chakula kwa ajili ya mapishi,a fedha zake zitatoka k katika akaunti ya rambi rambi ndio itafanya kazi hiyo.

Naye Meja Jenerali RichardMakanzo alisema wametumia shughuli hiyo katika kuigawa makundi Matatu,ikiwa kukufunga ili kisiendelee kuzama,hatua yapili ni kukifunga maboya ya kujaza upepo(Air bags),tatu kukivuta na kukileta nchi Kavu kikiwa salama.

“Sheria za Kijeshi zinasema huwezi ukamliza vita kisha ukaondoka maana huwa kunamajeruhi waliovujika mikono na miguu,ambao wanaweza wakajifunga na kuendeleza mashambulizi mbinu hiyo ndio tumeifanya hapa ya kuhakikisha Kivuko kimefika kikiwa salama,matengenezo yake hayata kuwa makubwa na tutahakikisha tunatoa mizigo yote iliyosalia ikwemo gari amabalo nalo tayali lipo nchi kavu,”alisema Makanzo kwa niaba ya CDF.

Aidha kazi ya kukinasua  kivuko hicho cha MV NYERERE kilichozama Septemba 20 mwaka huu,katika ziwa Victoria haikuwa rahisi lakini kutokana na juhudi kubwa zilizofanywa na Jeshi la wananchi wa Tanzania na vikosi mbali mbali vya Polisi,Zima moto,Jeshi la akiba kwa kushilikiana na wadau mblimbali iwezeza kufanikiwa kwa urahisi.

Kivuko hicho  hivi sasa kimetia nanga katika fukwe za kisiwa cha Ukara wilayani UKEREWE kikisubiri kukarabatiwa ingawa wapo waliotarajia kazi hii ingechukua muda mrefu,lakini jitihada za serikali za kukinusuru kivuko cha MV Nyerere  zimeonekana, utekelezaji wa maagizo ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa umefanyika kwa ufanisi mkubwa.

Matangazo

  • NAMNA YA KUOMBA LESENI ZA BIASHARA KUPITIA MFUMO WA TAUSI September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JKT- UKEREWE January 22, 2026
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI YAKAGUA MIRADI

    February 03, 2026
  • DC NGUBIAGAI AWAASA WANANCHI KUTUMIA NJIA HALALI KUTAFUTA HAKI

    February 02, 2026
  • " BARAZA LA MADIWANI NI KIOO CHA UONGOZI KWA WANANCHI " - DC NGUBIAGAI

    January 28, 2026
  • " TUMEWAPOKEA AJIRA MPYA WETU KWA 100% - MKURUGENZI MBUA

    January 29, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.