• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

ZOEZI LA KUONDOA MELI MAJINI NA UOPOAJI MIILI LINAENDELEA

Posted on: September 25th, 2018

Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mwasiliano Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe amesema zoezi la uopoaji wa miili ambayo itakua imenasa na kugeuza kivuko na kukitoa majini bado linaendelea likiongozwa na jeshi la wananchi kwa kishirikiana na majeshi mengine.

“Mpaka kufikia jana meli ilikua imelala kifudifudi na sasa kimelala ubavu na Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo akiongoza zoezi hili” alisema Kamwelwe.Pia amewashukuru watanzania mbali mbali  walioguswa na wanaoendelea kuombea shighuli zinazoendelea Ukara.

Aidha Zoezi la kupokea michango bado linaendelea ambapo wadau mbalimbali wanaendelea kujitokeza katika kichangia wananchi wa Ukara waliopatwa na Janga hili, miongoni mwa wadau walio wasilisha michango yao ni Baraza la maaskofu Jimbo la Dar es Salaam wameweka kwenye akaunti ya maafa kiasi cha shilingi Milioni 25. Na Benki ya KCB Tanzania Zuhura Muro nayo imetoa kiasi cha Shilingi Milioni 125 pesa imeshawekwa kwenye akaunti tayari. Nao Benki ya Shirika la Posta limeweka Milioni 10.

Kwa siku ya leo imepokelewa Milioni 160, Hivyo mpaka saa sita mchana fedha zilizochangwa zinafanya jumla ya shilingi  557,020,000/-

Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema zoezi la kugeuza bado linaendelea vizuri na matumaini ya kugeuza kivuko ni mazuri mafundi na wataalamu wanaendelea kufunga Air Bags (maputo magumu yenye hewa) ili kisaidia kivuko kisimama. Na wakati zoezi hilo lilipokua linaendelea maiti moja ikapatikana. “Tunaendelea na kazi mpaka itakapo kamilika” Mabeyo.

Mtanzania mmoja anaitwa Abel Michael amewasilisha kiasi cha 100,000/- na mwenzake John Salia ametoa 200,000/-.

Katika hatua nyingine zoezi la kutambua miili linaendelea ambapo kuna familia moja iliyoweza kufika na kutambua ndugu yao aliyefariki miongoni mwa ile miili minne iliyokosa ndugu yao. Baada ya mahojiano ya masaa matano na ofisi za utambuzi wakaridhiwa kuwa yule aliyezikwa ni ndugu yao hivyo familia imeonyeshwa kaburi namba 8. Alisema Adam Malima Mkuu wa Mkoa wa Mara anaesimamia utambuzi wa miili katika kituo cha afya Bwisya katika kipindi hiki cha ajali.


Zoezi la Kulipa wafiwa na manusura wa ajali limeanza na fedha zinazotumika ni hii iliyochangwa na watanzani.


Michango inaendelea kutolewa wadau mbali mbali wanaendelea kutoa kama Kanisa la EAGT  waliotoa shilingi Milioni 5. Uwanja wa Ndege KIA Milioni 5, ATCL Milioni 10, River oil milioni 2, Olympic Oil milioni 10, 

Jumla mpaka sasa ya fedha zote ni 589,320,000

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.