• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU KWA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU LAANZA RASMI

Posted on: August 14th, 2025

Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi Mkuu iliyotangazwa na tume kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 50 (6) na kifungu cha 62 (6) vya sheria ya uchaguzi wa Rais , wabunge na madiwani Na. 1 ya mwaka 2024 vikisomwa pamoja na kanuni ya 23 na 26 za kanuni za uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani za mwaka 2025 zinaelekeza kuwa kuanzia leo tarehe 14 Agosti 2025 hadi tarehe 27 Agosti 2025 ni muda wa utoaji fomu za uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani.

Msimamizi wa Jimbo la Ukerewe Ndugu Alfred Sungura ameanza zoezi la utoaji fomu za uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya jimbo la Ukerewe leo tarehe 14 Agosti 2025 huku wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata wakianza kutoa fomu za uteuzi wa wagombea udiwani.

Vyama ambavyo tayari vimechukua fomu kwa ngazi ya jimbo ni Chama cha Sauti ya Umma (SAU) , National League for Democracy (NLD), Alliance for African Farmers Party (AAFP) na chama cha Democratic Party (DP).

" Kura yako,haki yako, jitokeze kupiga kura "

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2025 September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DC NGUBIAGAI AAHIDI USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    September 04, 2025
  • MKURUGENZI MBUA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO IDARA YA AFYA

    September 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA VYEMA MBIO ZAKE UKEREWE

    August 25, 2025
  • MRADI WA HOTELI KUWEKA HESHIMA UKEREWE

    August 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.