• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Ukerewe District Council
Ukerewe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
        • Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
        • Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Maji
    • Uvuvi
    • Kilimo na Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Ongoing Projects
    • Miradi Iliyo kamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria Ndogondogo za Halmashauri
    • Fomu za Maombi
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa kwa Umma
    • Video

Mradi wa Maji Nansio

Start Date: 2015-03-02
End Date: 2016-11-02

MRADI WA MAJI SAFI NANSIO

HALI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI KWA MWAKA 2016/2017

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inatekeleza miradi mikubwa miwili ya maji ambayo ni  mradi wa maji Vijijni (Mradi wa maji Kazilankanda)  unayofadhiliwa na Benki ya Dunia na mradi wa maji Mjini Nansio unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Africa (AfDB) chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Majisafi Mwanza (MWAUWASA) kama mwajiri.

MRADI WA MAJI MJINI NANSIO

Mradi wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Ziwa Victoria Awamu ya Pili (LVWATSAN-II) katika Mji wa Nansio Wilaya ya Ukerewe ulisainiwa tarehe 22.12.2014 kati ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mwanza (MWAUWASA) na mkandarasi Angelique International Limited –Vishwa Infrustuctures and Services Private Limited wa New Delhi-India.

Mkandarasi huyo amefanya kazi kwa mkataba Na./MWAUWASA/LVWATSAN-II/EAC/ W/2014/002 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji katika Mji wa Nansio.kwa ghrama ya Tshs. 10,904,762,789.00 ( Bilioni kumi milioni mia tisa na nne laki saba sitini na mbili elfu mia saba na themanini na tisa tu).  Utekelezaji wa Mradi umefikia asilimia 99 na Mkataba umekwisha tarehe 31.07.2016.

Baada ya kukamilika kwa mradi asilimia 70 ya wananchi wa Mji wa Nansio wanapata huduma ya maji safi na salama.

Mafanikio 

Hadi sasa mradi umekamilisha miundombinu mikuu kama ifuatavyo;

-Ujenzi wa chanzo cha maji Nebuye

-Ujenzi wa kituo cha kutibu maji safi na salama Nebuye

-Ujenzi wa matanki mawili ya kuhifadhi majisafi eneo la Malegea (lita 3,000,000) na Nebuye lita 350,000

-Ulazaji wa bomba za maji kilomita 50.9 za  vipenyo.

Changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji  wa mradi

Utekelezaji wa Mradi huu umekabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo mkandarasi anatakiwa kuziondoa au kukamilisha katika mradi kwa mujibu wa mkataba kama ifuatavyo:-

Mkandarasi amalizie kazi ya kulaza bomba za maji 1.09 katika eneo la Kakerege

Mkandarasi afunge ‘gate valve’ kwenye maeneo yote muhimu ya mradi pamoja na ‘Air Valve’ kama ilivyooneshwa kwenye ramani yakiwemo maeneo ya Bulamba,Nakatunguru,Kakerege, Nansio, Nantare na Nebuye ili kuondoa tatizo la kufumuka kwa bomba mara kwa mara kwenye viungio.

Mkandarasi anunue viungio vilivyobaki vya dira za maji 1,500 alizoleta kama ilivyo kwenye  mkataba




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA UKEREWE July 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAKUSANYA MAPATO July 27, 2022
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU ROBO YA NNE August 03, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa salama wakabidhiwa salama wilaya ya ILemela .

    July 16, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Col. Deniss F. Mwila atia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe utakaotekelezwa wilaya ya Ukerewe.

    October 28, 2022
  • MAKUBALIANO YA UJENZI WA KIWANDA KIDOGO CHA BARAFU WILAYA YA UKEREWE

    October 09, 2022
  • UZINDUZI WA VITABU VYA MAELEKEZO YA JINSI YA KUBORESHA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI WILAYA YA UKEREWE.

    September 08, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • https://www.moe.go.tz/sw/article/tangazo-la-nafasi-za-mafunzo-ya-ualimu-ngazi-ya-astashahada-ya-ualimu-elimu-ya-awali-msingi-na-stashahada-ya-ualimu-elimu-sekondari-sayansi-miaka-mitatu-kwa-mwaka-wa-masomo-20222023
  • Jiwe linalocheza Wilayani Ukerewe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Necta

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe . All rights reserved.