Posted on: September 11th, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mhe.Cornel Magembe ahamasisha kilimo cha machungwa kwa wakulima wa Wilaya hiyo kwani ni moja ya kilimo biashara chenye tija kuanzia kwa mkulima hadi taifa, ameyasema hayo ak...
Posted on: August 19th, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amehudhuria baraza la madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali za mwaka wa fedha 2017/2018 pamoja na hoja za Ukaguzi Maalumu uliofanywa na m...
Posted on: July 25th, 2019
Mhe. Omary Tabweta Mgumba Naibu Waziri wa Kilimo amefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Wilaya ya Ukerewe na kupokelewa na viongozi wa Wilaya Kaimu Mkuu Wa Wilaya na Katibu Tawala wa Wilaya Focu...