Posted on: February 22nd, 2021
Shirika la Huduma kwa Wakulima (FFS) chini ya ufadhili wa Rotary Club wamekabidhi madawati 126 yenye thamani ya Tsh 6,250,000/- kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, hafla iliyo...
Posted on: February 18th, 2021
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Kipanga Juma Omary (MB) leo amefanya ziara ya kikazi Wilayani Ukerewe na kutemebelea na kukagua mradi wa Chuo cha Ufundi VETA mradi unaotekelezwa kata...
Posted on: February 11th, 2021
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe leo limefanya kikao cha Baraza Maalumu la kujadili Bajeti ya mwaka wa Fedha 2021/2022. Kikao hiko kimefanyika katika Ukumbi Mkubwa wa Halmashauri...